inawezekana ikawa mambo ya sembe,kama ndio sembe lenyeve das baba na tid na blue inabidi wakifunze kitu hapo
Kifo cha umauti ama kifo chake katika tasnia ya mziki, please fafanua ili watu wachangie maana wengine tunatumia simu za mchina kwa hiyo hatuwezi kufungua hiyo link
daaaaah .................siamini!!!!!!!!!!!
yani nimeshtuka balaaaaaaaa...................unanihusu sana huu msiba!!!!! daaah!
Rip Albert!
Mnashindana kuanzisha thread