du haya bwana,ya kwendea msibani au kuna toto unafukuzia humu!!Ndo mie mwaya nimepiga make up.
Wana jamii forums mnaspeed 120,,,kwa kupata taarifa,,,mtakesha leo kama cnn mkitoa taarifa,
mkuu saudari ni wewe!!nilikusahau!!
Mbona chini ya post yako haijandikwa "SENT FROM MCHINA PHONE"
who was he?
serious jamani
Mchina wameadvance ukituma inakuwa kimyakimya
Hope u R.i.p dude, hope u do. Kwani huko kuna kilio na kusaga meno pia.Msanii Albert Mangwea afariki dunia
Msanii wa Bongo Flava Albert Mangwea maarufu sana kama Ngwair amefariki dunia leo akiwa Afrika Kusini Rafiki yake wa karibu sana anasema yakuwa Ngwair hakuamka toka jana alipolala. Story kuhusu kifo cha Mangwea tutawaletea baada ya kutoka taarifa kamili.
R.I.P! Mangwea