R.I.P, tutakukumbuka kwa kazi yako ama kwa hakika pamoja na wenzako mliweka milestones ambazo wenzenu sasa wanapita kwa urahisi japo nyie mlitaabika
huu wimbo mpaka leo hata sijui alikuwa anasema nini, lol!
who was he?
huu wimbo mpaka leo hata sijui alikuwa anasema nini, lol!
mi nilikuwa namkubali sana na huu
huu wimbo mpaka leo hata sijui alikuwa anasema nini, lol!
mi nilikuwa namkubali sana na huu
RIP......
huyu ni kati ya ambao walikuwa wanawaza sana miziki yao, sijui alikuwa anaandika mwenyewe?
siyo kila siku lazima kuimba mapenzi..... hata hizi zilikuwa zina-hit
nilikuwa napenda sana huu wimbo wake