Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
huu wimbo mpaka leo hata sijui alikuwa anasema nini, lol!
Hiyo 'lol' hapo ni dead giveaway kwamba unajua fika alichokuwa akikisema. Naona ni kama umejitoa fahamu tu hapo da FP.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
huu wimbo mpaka leo hata sijui alikuwa anasema nini, lol!
yaani...... inasikitisha sana....Mimi nimepigwa butwaa jamani.
Such a young talented man...
pole sana.....Jamani wengine tunatumia simu hizi youtube mbona hazifunguki?
yaani...... inasikitisha sana....
kweli hawa ndugu zetu wasanii wanatakiwa kuelimishwa saana....
wanatakiwa wajue wao ni nani
m to the p ndio nani?
ha haaaa, umenisoma eeeh!Hiyo 'lol' hapo ni dead giveaway kwamba unajua fika alichokuwa akikisema. Naona ni kama umejitoa fahamu tu hapo da FP.
Nini tatizo lililopelekea kifo chake. Je, amekuwa akiugua kwa muda labda! Au kifo cha ghafla? Na south alienda kikazi au! Wana JF naomba mnijuze
ukisoma sababu ya kifo chake unaweza kunielewa nilikuwa najaribu kusema nini NNWanatakiwa kuelimishwa sana kuhusu nini na nani awaelimishe?
Na kwani wao wanatakiwa wajue wao ni kina nani kivipi? Kwani hawajijui?
Chomwa na Moto Milele {CCM} Mangwair!
nasikia yeye na mwenzie waliji overdose madawa ya kulevya source dj fetty
ukisoma sababu ya kifo chake unaweza kunielewa nilikuwa najaribu kusema nini NN
Clauds ndio wanaowafanya wasanii wetu wafe haraka, kazi kubwa mafanikio hamna mwishoni wanakua mateja hata kufa.
Kazi kuwazungusha kwenye fiesta,faida mnachukua nyie wakigoma mnabana njia zote za kutokea.
Laana na iwe juu yenu.
R.I.P kamanda