TANZIA Msanii Albert Mangwea afariki dunia

TANZIA Msanii Albert Mangwea afariki dunia

Clauds ndio wanaowafanya wasanii wetu wafe haraka, kazi kubwa mafanikio hamna mwishoni wanakua mateja hata kufa.
Kazi kuwazungusha kwenye fiesta,faida mnachukua nyie wakigoma mnabana njia zote za kutokea.
Laana na iwe juu yenu.

R.I.P kamanda

Ona huyu mburula naye...eti Clouds ndiyo inawafanya wasanii wafe haraka.

Kwa akili kama hizi ndo maana mtaendelea kula mivumbi milele.
 
Na sasa wana semaje mpaka muda huu?

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Inavyodaiwa ni kafia akiwa usingizini. Sasa kama alikufa akiwa usingizini ina maana autopsy keshafanyiwa na toxicology report ishatoka na inabainisha kwamba kafa kwa drug overdose?

Manake mtu kufa usingizini yaweza kuwa pia alipata shambulio la moyo....au tu kafa kwa natural causes. Hiyo ya drug overdose ni kweli ama ni usadiki tu wa watu?
mimi na wewe hatujui......
cha kujiuliza ni kwa nini waliomkuta kafa na kumpeleka hosp pamoja na mwenzie akiwa hoi wamesema waliji-overdose na siyo inawezekana shambulio la moyo?
wote wawili walipata mashambulio ya moyo muda mmoja?
kilichosababisaha hayo mashambulio ni nini?
 
Drug overdose??!
Mmejuaje?
Au ni uswahili tu kama kawaida.
 
mimi na wewe hatujui......
cha kujiuliza ni kwa nini waliomkuta kafa na kumpeleka hosp pamoja na mwenzie akiwa hoi wamesema waliji-overdose na siyo inawezekana shambulio la moyo?
wote wawili walipata mashambulio ya moyo muda mmoja?
kilichosababisaha hayo mashambulio ni nini?

Bila uthibitisho wa daktari si vyema kusadiki na kuzusha. Watu wamerukia kudai ni drug overdose kana kwamba walikuwa wote humo alikofia.

Kwa sababu yawezekana pia labda wamewekewa sumu na watu wenye roho nyeusi.

Na inawezekana kweli wote kwa pamoja kupatwa na shambulio la moyo kwa mpigo - chini ya jua yote yawezekana.
 
Ona huyu mburula naye...eti Clouds ndiyo inawafanya wasanii wafe haraka.

Kwa akili kama hizi ndo maana mtaendelea kula mivumbi milele.

hata hivyo ningeshangaa kama ungepost kinyume na hivi.!!
 
RIP kijana wetu Albert Mangwea.

Muumba amekuchukua ukiwa na umri mdogo mno na hatuwezi kupinga wajibu huo wa Muumba wetu.

Duh mkuu mbona mnamsingizia mungu kila kitu, jamaa si kajioverdose madawa mwenyewe, tena voluntarily ...that notwithstanding R.I.P Man ngwair
 
Hivi mtoto wa sheikh yahya alitangaza msanii mkubwa atakufa this year au nakosea?au ngwea hakua msanii mkubwa?PUMZIKA ULIPOPAANDAA bro
 
hata hivyo ningeshangaa kama ungepost kinyume na hivi.!!

Na mimi kwa kweli ningeshangaa sana kama asingejitokeza mburula hata mmoja na kuanza kuilamumu Clouds, Ruge, Joey, na Kibonde. Ningeshangaa sana. Kwanza nimeshangaa kwa nini watu hawakuanza kuilamu Clouds right away tokea ukurasa wa kwanza.
 
Bila uthibitisho wa daktari si vyema kusadiki na kuzusha. Watu wamerukia kudai ni drug overdose kana kwamba walikuwa wote humo alikofia.

Kwa sababu yawezekana pia labda wamewekewa sumu na watu wenye roho nyeusi.

Na inawezekana kweli wote kwa pamoja kupatwa na shambulio la moyo kwa mpigo - chini ya jua yote yawezekana.

au labda ni shambulio la kigaidi huezi kujua.
 
amani kwa Kaka Voda Milionea
Washtue wanao waache poda wale mmea... Jipange...
 
Nini tatizo lililopelekea kifo chake. Je, amekuwa akiugua kwa muda labda! Au kifo cha ghafla? Na south alienda kikazi au! Wana JF naomba mnijuze
Inasemekana alizidisha dozi ya unga.
 
Bila uthibitisho wa daktari si vyema kusadiki na kuzusha. Watu wamerukia kudai ni drug overdose kana kwamba walikuwa wote humo alikofia.

Kwa sababu yawezekana pia labda wamewekewa sumu na watu wenye roho nyeusi.

Na inawezekana kweli wote kwa pamoja kupatwa na shambulio la moyo kwa mpigo - chini ya jua yote yawezekana.
ha haaa, hiyo wizara ya afya mimi imenipita kushoto kabisaaaaaa
haya tunasubiri ripoti sasa baada ya kuongea udaku
 
Habari kutoka kwa mtu wa karibu na Rapper Ngwea, aliejitambulisha kwa jina la Hamisi, amesema Ngwea alikua kule kwa mualiko
wa kufanya show South Africa, ambapo alikua na msanii mwingine anaeitwa M to the P, na walitakiwa kuondoka leo kurudi
Dar saa tatu asubuhi.

Lakini baada ya kuona hawatokei ndio wakaamua kwenda walipokuwa wamefikia na kuwakuta wote wawili wakiwa hawajielewi baada
ya kujidunga madawa ya kulevya mengi (overdose), walipowahishwa hospitali, habari ndio ikawa hivi, kuwa Ngwea amefariki na M to the P yuko hoi hospitali.
 
Na mimi kwa kweli ningeshangaa sana kama asingejitokeza mburula hata mmoja na kuanza kuilamumu Clouds, Ruge, Joey, na Kibonde. Ningeshangaa sana. Kwanza nimeshangaa kwa nini watu hawakuanza kuilamu Clouds right away tokea ukurasa wa kwanza.

R.I.P Ngwea.!!!!!!!!!!!
 
Back
Top Bottom