Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Clauds ndio wanaowafanya wasanii wetu wafe haraka, kazi kubwa mafanikio hamna mwishoni wanakua mateja hata kufa.
Kazi kuwazungusha kwenye fiesta,faida mnachukua nyie wakigoma mnabana njia zote za kutokea.
Laana na iwe juu yenu.
R.I.P kamanda
Ona huyu mburula naye...eti Clouds ndiyo inawafanya wasanii wafe haraka.
Kwa akili kama hizi ndo maana mtaendelea kula mivumbi milele.