Sioni lolote analolifanya zaidi ya majungu na kutembelea nyota za wenzake, tuzo amepata mwambieni atoke nje ya kko na mombasa, mziki wa ghetto tumeuchoka!Najua una mahaba mengi sana kwa mond mkuu ndio maana povu linazid kumwagika ila remember kiba si mtu wa kujikweza yote yanawezeka ila kukuelewesha ww uliyekunywa maji ya kinanda cha mond panakazi kubwa
Lete source acha manenomuaminini aliyeleta Uzi,, hataivo hata ukipewa source nyingine hutafurahia,chuki ushaonesha .
Sory mkuu hivi ww me au ke inawezekana ukawa na coz zako za msingi lkn mm nikawa xjui nabisha tuSioni lolote analolifanya zaidi ya majungu na kutembelea nyota za wenzake, tuzo amepata mwambieni atoke nje ya kko na mombasa, mziki wa ghetto tumeuchoka!
Lete source acha maneno
Sioni lolote analolifanya zaidi ya majungu na kutembelea nyota za wenzake, tuzo amepata mwambieni atoke nje ya kko na mombasa, mziki wa ghetto tumeuchoka!
Ndio uwezo wako wa kufikiri ulipoishia hapo?Sory mkuu hivi ww me au ke inawezekana ukawa na coz zako za msingi lkn mm nikawa xjui nabisha tu
Narudisma tena lete source ya habari!!Narudia tena,hata ukipewa source haitakusaidia na wala hujafurahia alikiba kupata tuzo hii,,
Ngoja niwaache!!Nyotaaaa!pole yako,hii tuzo ingekuwa imeshachukuliwa na diamond hapo nyuma mmngesema kuwa 'alikiba anapita mule mule alipopita diamond'
tunashukuru mkuuNgoja niwaache!!
Inategemea na tuzo!!! Mtv mbona kapost then hatujaiona hadi leo!halafu anacho nifurahisha huyu king kiba hata ashinde matuzo ya kimataifa yy hana majigambo na mbwembwe kupost sijui insta na face book tofauti na wasanii wengine wale
Utaonaje na wewe umejichimbia you tube kununua viewsInategemea na tuzo!!! Mtv mbona kapost then hatujaiona hadi leo!
Kiba was there waaaaay befor mondi. Sema boss wako janja janja nyingi ila mpaka views ananunua. Kwa nini hajiamini? Mbona wanigeria wanamtoa sana ikiwemo kumpa tuzo za wilayaSioni lolote analolifanya zaidi ya majungu na kutembelea nyota za wenzake, tuzo amepata mwambieni atoke nje ya kko na mombasa, mziki wa ghetto tumeuchoka!
Bora kukata rufaa kuliko kununua in advance khaaaa! Mnatia aibu wazee pwooooovuHivi nawewe unaamini kabisa toka october 28 hadi leo mtu hajapewa tunzo yake? Ni wazi alikata rufaa kabisa..
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Kiba was there waaaaay befor mondi. Sema boss wako janja janja nyingi ila mpaka views ananunua. Kwa nini hajiamini? Mbona wanigeria wanamtoa sana ikiwemo kumpa tuzo za wilaya
Kaleta bongo flavour vs Nigeria flavour hahahah[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Akili za team kiba ndio hizi! Kipi kipya katika tasnia ya bongofleva kilicholetwa na kiba naomba mfano mmoja tu!
We kweli bure kabisaKaleta bongo flavour vs Nigeria flavour hahahah
Wakikujibu nishtueHivi mwaka huu huyu msanii wetu wa kimataifa amepiga show ngapi nje ya Tz!?
Acha bhana... kumbe mlikuwa mnashangili ushindi huku....!!! Wasanii wakubwa wote chali.... thinking out loudly! Kumbe Kiba sio msanii mkubwa enh!!!!Wooooow! Hii tena mnasemaje?Wasanii wote wakubwa Afrika chaliiiii.
Hongera King Ali Kiba,Happy birthday [emoji322] [emoji323] [emoji320] [emoji512]
Hatununui views, hatununui tuzo.
[HASHTAG]#TutaheshimianaTu[/HASHTAG]
cc chige Chinga One The bold