Tetesi: Msanii Alikiba ampa talaka tatu mkewe chanzo kikiwa ni ndugu na kurogana

Tetesi: Msanii Alikiba ampa talaka tatu mkewe chanzo kikiwa ni ndugu na kurogana

Endapo kama kuna ukweli ktk suala hili, NA endapo kama habari hii ni ya kweli , mwanamke KWA kiasi Fulani alikuwa yuko sahihi. Haiwezekani wanandugu mjazane KWA MTU mmoja ambaye ana ndoa yake. Hapo ndipo tunapokosea sana NA kuharibu ndoa zetu.

Kijana akioa mwanamke tayari wamekuwa wamejitengenezea au kuunda " Serikali yao inayojitegemea ktk maamuzi" miongoni mwao wanandoa. Lazima wawe huru kujiamulia mambo yao wao wenyewe, watu wengine wote pamoja na wazazi NA wana ndugu wanabaki kuwa washauri tu kwa wanandoa hao.

Ni lazima wana ndugu wakae mbali, wala wasiwe sehemu ya ndoa au wawe pia NA maamuzi ktk ndoa ya ndugu yao kwani KWA kufanya hivyo lazima ndoa husika itaingia kwenye migogoro tu na hatimaye kuvunjika kabisa. Wanandugu wanatakiwa kumtembelea au kuishi na wanandoa KWA muda tu, lakini siyo kuwa nao pamoja na kuwa familia moja.
Majitu duni na yaliyokosa ufahamu hayaelewi haya. Uswahili ukipitiliza unakuwa ugonjwa. Nyumba ya mtu na kambi ya wakimbizi ni sehemu mbili tofauti
 
Kiba hana tabia ya kubanjua kwenye chumba, kumbuka yule DC alikuwa anabanjuliwa kwenye verossa, haya wema naye alkuwa anagongewa kwenye gari, kiba akirudi Tabata mjengoni mwake anakula mzigo parking, wakiingia ndani ni kuoga tu, mind you wakenya hawakati viouno kwahiyo Kiba hatumii nguvu nyingi na ndio maana amekuwa nastress sana za mapenzi.
Duh, wewe ndio kuwadi wake nini? Haiwezekani unajua yote hayo mkuu
 
Wanawake wengi wakiolewa wanadhani khama na kukaa wao wawili ndio maisha yanaishia hapo
Jamii za karibu na kihindi hata za baadhi ya kiafrika ukiolewa unaenda kukaa kwa familia ya mke wako majanga uchumi
Italian huko utachunga ng'ombe huko na ghasia zote at last unakuja uko u a nguvu za kiuchumi na rasilimali
Sasa hivi vijike vingine vinataka mkakae wenyewe ili view vinashinda ndani kuangalia tamthilia tu na series za kimora na kijapan
Viacheni kwa wakwe vinyoshwe
KWA kiasi kikubwa sana uko WRONG.
 
Hii sasa kashfa hii doh!
Kiba hana tabia ya kubanjua kwenye chumba, kumbuka yule DC alikuwa anabanjuliwa kwenye verossa, haya wema naye alkuwa anagongewa kwenye gari, kiba akirudi Tabata mjengoni mwake anakula mzigo parking, wakiingia ndani ni kuoga tu, mind you wakenya hawakati viouno kwahiyo Kiba hatumii nguvu nyingi na ndio maana amekuwa nastress sana za mapenzi.
 
Dahh....

Uswahili nomaaa...

Hivi King hakuwa na nyumba!? Kukaa na etxtended family maisha haya mwanamke gani wa kisasa anaweza..!??
 
Dahh....

Uswahili nomaaa...

Hivi King hakuwa na nyumba!? Kukaa na etxtended family maisha haya mwanamke gani wa kisasa anaweza..!??
hiyo ghorofa ya tabata ni yake, ila anakaa na familia yake, na mabwana wa dada zake, yaani majamaa wanakuja kwa kiba kuwakaza dada zake kiba[shemeji]
 
Hahaha.
Ndio tatizo la ndoa za kishwahili mnapishana na ndugu kwenye korido Kama nzi. Afrika kuchomoka bado Sana unaweza kuishi na ndugu zaidi ya watano nyumba moja,Dada wa kazi anafanya kazi ya kupika kuanzia asubuhi Hadi usiku utadhan ni mpisha wa hotel.mnapika chakula kingi Hadi kinakosa ladha .
 
Wasalaam wajamvi!

Msanii Alikiba a.k.a King Kiba amempa talaka tatu mkewe Amina raia wa kenya baada ya kushindwa kupata muafaka juu ya ugomvi wao na ndugu wa Alikiba na Mama wa Alikiba.

Ndoa ya King Kiba ilianza kuingia dosari baada ya Amina kutaka ndugu wa Alikiba wakajitafutie maisha yao na wajitegemee jambo ambalo lilizua taharuki na ugomvi mkubwa baini ya ndugu wa Alikiba na Amina..

Amina alidai ni vigumu kuishi na watu wengi vile ndani ya nyumba moja hata kama ni ghorofa na bado kuwe na amani...hivyo alimshauri alikiba awape mitaji wakajitegemee au awapangie nyumba nyingine.....

Hili jambo liliendeleza mgogoro mkubwa hadi Mama Alikiba kiingilia kati na kutaka Alikiba amuache Amina na akadai apendi hata watoto wa Alikiba kuwa pale....


Wakati hayo yakiendelea kutafutiwa uvumbuzi mtoto wa Alikiba aliugua na kupatwa ugonjwa ulio sababisha awe ana anguka kila muda.....hili lilichochea moto kwani ndugu na Mama Alikiba waliamua kufunga safari hadi kwa fundi ndipo alipotoa tv [emoji342] na kuwaonesha chanzo cha ugonjwa wa mtoto ikidawa amelogwa na Amina mke wa King [emoji146] kiba.


Hivyo basi Mama na ndugu baada ya kutoka kwa fundi walirudi na kumchana live Amina kuwa anataka kumuua mtoto wa King Kiba hivyo lazima aondoke jambo ambalo lilizua ugomvi mkubwa huku Amina akilia kama mtoto na kuwambie hawezi na hana tabia hizo labda kama wanataka aachane na ndugu yao lakini wasimsingizie....

Ugomvi ulikuwa mkubwa sana kupelekea Amina kubeba mwanae na kurudi kwao mombasa huku akitaka kupewa talaka maana ndoa imemshinda!


Mnamo mwezi wa nane mwisho King Kiba alimpa talaka Amina ili aendelee na maisha yake uku wakishirikiana kulea mtoto.


Wasalaaam
Sio siri WASWAHILI wanashangaza sana kwa USWAHILI wao.
 
Wasalaam wajamvi!

Msanii Alikiba a.k.a King Kiba amempa talaka tatu mkewe Amina raia wa kenya baada ya kushindwa kupata muafaka juu ya ugomvi wao na ndugu wa Alikiba na Mama wa Alikiba.

Ndoa ya King Kiba ilianza kuingia dosari baada ya Amina kutaka ndugu wa Alikiba wakajitafutie maisha yao na wajitegemee jambo ambalo lilizua taharuki na ugomvi mkubwa baini ya ndugu wa Alikiba na Amina..

Amina alidai ni vigumu kuishi na watu wengi vile ndani ya nyumba moja hata kama ni ghorofa na bado kuwe na amani...hivyo alimshauri alikiba awape mitaji wakajitegemee au awapangie nyumba nyingine.....

Hili jambo liliendeleza mgogoro mkubwa hadi Mama Alikiba kiingilia kati na kutaka Alikiba amuache Amina na akadai apendi hata watoto wa Alikiba kuwa pale....


Wakati hayo yakiendelea kutafutiwa uvumbuzi mtoto wa Alikiba aliugua na kupatwa ugonjwa ulio sababisha awe ana anguka kila muda.....hili lilichochea moto kwani ndugu na Mama Alikiba waliamua kufunga safari hadi kwa fundi ndipo alipotoa tv [emoji342] na kuwaonesha chanzo cha ugonjwa wa mtoto ikidawa amelogwa na Amina mke wa King [emoji146] kiba.


Hivyo basi Mama na ndugu baada ya kutoka kwa fundi walirudi na kumchana live Amina kuwa anataka kumuua mtoto wa King Kiba hivyo lazima aondoke jambo ambalo lilizua ugomvi mkubwa huku Amina akilia kama mtoto na kuwambie hawezi na hana tabia hizo labda kama wanataka aachane na ndugu yao lakini wasimsingizie....

Ugomvi ulikuwa mkubwa sana kupelekea Amina kubeba mwanae na kurudi kwao mombasa huku akitaka kupewa talaka maana ndoa imemshinda!


Mnamo mwezi wa nane mwisho King Kiba alimpa talaka Amina ili aendelee na maisha yake uku wakishirikiana kulea mtoto.


Wasalaaam
Hii Skendo ndo ingekua imetokea kwa familia ya domo,social media kungechafuka balaa
 
Back
Top Bottom