Msanii atoa machozi kwa kurushwa kwa picha zake akiwa mtupu!

Msanii atoa machozi kwa kurushwa kwa picha zake akiwa mtupu!

Huyo mchizi wake nae mshamba tu, sasa ndio kafaidika nini? Halafu mnaosema ni planned unless ukiwa huna ubongo uwe ni uji ndio unaweza fanya upuuzi huo.
Dah, pole sana dadangu.

siku hiz biashara ukipata picha kama hizo na ikatoka ukurasa wa mbele unalipwa pesa ndefu,watu wanaishi mjini kwa kazi hiyo
 
Kuna baadhi ya wanaume ni *******..ingekuwa ni dada yangu kafanyiwa hv.lazma nimtoe mautumbo yake n'nje.mambo ya kijinga ni kwa kuwa ni mwanamke acheni uonevu nyiye ma k.
 
Poa kakosea kweli, lakini ni wangapi humu ndani na wao wanapicha hizo??? Alimuamini mpenziwe ndio mana.

Hapa mshamba na mkosaji ni huyo mwanaume. I fail to understand wachizi wa aina hii, kwani kama mapenzi imeisha mzee si usepe usome ramani zingine???

Mwisho wa siku utakuja hata taka kutishia chupa, "Ooh nimechukia Soda umeisha haraka na sina hela ingne so ntachofanya naenda Global waambia nimekupiga denda"

Dada Husna ulikosea, na umeshasahihisha. Ila Frank mangi ni aibu yako sasa, na mbaya zaidi hata mamanzi watakusepa.
 
oh my oh my!! hivi ni lazima kupiga picha ukiwa uchi na mumeo, achilia mbali boy friend?? ni ujinga na ushamba kuiga mambo ya nje! haya mshahara ndio huo sasa! huyo frank naye ni mshambaje sasa??

nashukuru kwa kuliona hilo mkuu wangu.
 
oh my oh my!! hivi ni lazima kupiga picha ukiwa uchi na mumeo, achilia mbali boy friend?? ni ujinga na ushamba kuiga mambo ya nje! haya mshahara ndio huo sasa! huyo frank naye ni mshambaje sasa??

Sumu ya mapenzi ukishailamba hata kwa maziwa huwezi kupona jamani! Pole yake huyu mdada!
 
Yani natamani nimtukane!!!
We mwanaume unamuamini nini mpaka akupige picha za aina hiyo?
Utalia sana na bado zingine hajazitoa
jamani omba ukose vitu vyote lakini si akili
kuna mijitu mihayawani balaa
 
Kipimo cha mwanamme ni pamoja na kupenda kupiga piga picha mkiwa pamoja
Haswa kwa visimu, tupa kuleee
 
Kipimo cha mwanamme ni pamoja na kupenda kupiga piga picha mkiwa pamoja
Haswa kwa visimu, tupa kuleee

tena unapigwa picha na boyfriend,muda wowote mnazinguana hamna mkataba wowote
 
hivi kwa Tanzania msanii maana yake nini manake kila mtu ajiita msanii, wanamaanisha nini vile
 
Back
Top Bottom