sa we utapigaje picha za utupu..hata km mnapendana,any thing can happen,zinaweza kupotea,rfk wa frank anaweza kuziona,ama hata rfk yko na akakuharibiA..acheni huo upuuzi mapenzi yana mipaka..kuzini ni dhambi na kupga picha za utupu ni dhambi vile vile..sasa vijana tunazini sana lkn bado tu tunapga mpka picha!
sasa labda lengo la kupga picha kama hzo ni nini..hebu mtu anisaidie hapo!