I love the song.
Haya ndugu James Comey nimekupata na uko sahihi.Hujaelewa alichomaanisha hiyo heading haiendani na habari ya ndani.
Negative (kukanusha) + negative ( hajatafunwa) = POSITIVE ( KATAFUNWA)
Haha nakuelewa sasaI wish pple wud u/stand wat I meant b4 exposing their stupidity. Hii mada, Avril anasema yeye na Diamond r bt jst frds. So headline shud av bn...AVRIL AKANUSHA KWAMBA KATAFUNWA NA DIAMOND.
Hahaha uko na utotoDah! Aisee mondi kweli ww dume la mbegu, hongera zako kwa kusample misambwanda kote kote[emoji3] [emoji109]
View attachment 586142
Duh!!!Alafu Tigo/jicho lazima kamla sana.. Sbb hapo alivyo Tigo lazima ule utakua umeutendea haki umbo lake
Avril mkamba mkuu,avril lavigne maji marefu yale!
Uko sahihi kabisa Mkuu kwa 110%,Uko sawa kakaa! Heading ilitakiwa iwe hivi: "Avril akanusha kutafunwa na Diamond"