Msanii Avril akanusha kutafunwa na Msanii Diamond

I wish pple wud u/stand wat I meant. Hii mada, Avril anasema yeye na Diamond r bt jst frds. So headline shud av bn...AVRIL AKANUSHA KWAMBA KATAFUNWA NA DIAMOND.
 
I wish pple wud u/stand wat I meant b4 exposing their stupidity. Hii mada, Avril anasema yeye na Diamond r bt jst frds. So headline shud av bn...AVRIL AKANUSHA KWAMBA KATAFUNWA NA DIAMOND.
Haha nakuelewa sasa
 
Niliwahi kusikia Avril mwenyewe anapenda kuzama chumvini pia.
 
Si wanasemaga she is a lesbian pia
 
Huyo dem kama wengine tu! Awe katafuna au hajatafuna sio big deal!
 
Nataka nimsukie Rwanda sasa...

Mond go....[emoji3][emoji3]
 
Uko sawa kakaa! Heading ilitakiwa iwe hivi: "Avril akanusha kutafunwa na Diamond"
Uko sahihi kabisa Mkuu kwa 110%,
Umeanza na (-ve) x (+ve) = (-ve)

Mtoa mada angeweza pia kusema
Avril athibitisha hajatafunwa na Diamond
Yaani (+ve) x (-ve) = (-ve)

Watu wanabisha wakati kiswahili chenyewe wamekijulia ukubwani.
 
"Katafuna"
Wanaume wa Dar wanaoweza kutafunatafuna ni wachache sana.
Wengi wanatafuniwa!
☺☺
 
Hata Uwoya alikanusha Na mondi wakati aliliwa
Avril naimani aliliwa Na mondi swala la kuliwa ni siri ya 2 WA 3 in malaika muwandika mazambi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…