Msanii AY afunga ndoa na mpenzi wake huko Rwanda

Inaelekea wengi humu ni vijana wadogo ambao hawajui ndoa za kimila.

Ndoa ya kimila hufungwa kikeni. Na hii hats uchagan ilikuwepo zamani kabla maisha hayajabana. Siku ya pombe ya harambee ndio siku ya ndoa ya kimila.

Kisha Sasa ndio binti anagawa kwa sendoff afu ndoa. Siku hizi watu wameichakachua kwamba siku mahari inapotolewa ndio ndoa ya kimila hufanyika hivyo hakuna tena siku ya kula mahari ama.iyo ya pombe ya Harambee
 
Asante sana kwa kufanya vitu vizur kama hiv endeleen na moyo huo huo
 
Hakuna namna nikuoa kwa majirani tu hawa wa huku ngoja wabinue viunoo wazalishwee walilie child support mahakamani kila mtoto na baba shule vichwani hakuna acha wanaojitambua waoe class zao sio kina nyumbu cha wote love doesn't ask why! Hongera Ambwene mbeya to rwanda.
 
They are beautiful but he should be extra careful in handling her. Tutsi women are of their kind and the tribe regards other black African tribes as inferior and slaves. I could advice a young man to marry in his homeland. Tutsi are very dangerous.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…