abdallah chongono
JF-Expert Member
- Dec 4, 2017
- 351
- 196
Asante sana kwa kufanya vitu vizur kama hiv endeleen na moyo huo huoAman iwe nanyi wakuu katika bwana. Kama kichwa cha habari kinavyosomeka hapo juu.
Msanii wa kizazi kipya Ambwene Yesaya siku ya leo amafunga ndo na mpenzi wake mnyarwanda na ndio hiyo imefungwa kimila huko nchin Rwanda
Mke wa msanii huyo ana shahada ya uzamili ya uhandisi.
Watu hao wamedumu kwenye uchumba kwa muda wa miaka kumi sasa.
Miss na ww n wa huko Kwa kagamennavojua hio ni kutoa mahari(igusaba umugen) ila inahesabika kama harusi ya kimila (gusaba)
Wasisahu kukusaidia piaNdugu Moderator naomba mumsahidie huyu mtoto kuedit hii nyuzi yake, imejaa typing errors na wala hashituki!
Asante.
Nawewe pia mkuu, wahitaji msaada wao.Wasisahu kukusaidia pia
nabanana na mzee wa vyumaMiss na ww n wa huko Kwa kagame
Ndoa chali
KabisaMambo yanekamilika au sio
YametimiaThey are beautiful but he should be extra careful in handling her. Tutsi women are of their kind and the tribe regards other black African tribes as inferior and slaves. I could advice a young man to marry in his homeland. Tutsi are very dangerous.