Nifah
JF-Expert Member
- Feb 12, 2014
- 34,020
- 79,098
Kuna wakati niliwapeleka wadogo zangu huko beach, nimekaa nikajisahau nikakuta wanaogelea...
Nilishtuka hadi nikatamani niwapige makonzi...
Kuogelea najua sana tu, ila sijawahi pata courage ya kuogelea kwenye maji ya bahari au mto...
Kila nikiwaza kwenda mbudya nahairisha safari...
Najiuliza siku nikienda zanzibar sijui itakuwaje.?...
Bora wewe, mimi nina ndugu huko Zanzibar lakini kila nikiwaza yale majanga ya baharini sitaki hata kupasikia!