Msanii Ben Pol anusurika kufa baharini, Boti yao yazama


Bora wewe, mimi nina ndugu huko Zanzibar lakini kila nikiwaza yale majanga ya baharini sitaki hata kupasikia!
 
Duuuuuh,tuzo 5 hazikutosha wanataka kumtoa kafara msanii mwenzao kama watoto hawana lengo ndo show zote afanye yeye ???? ( jus kidin)
 
Huko nilisikia safari watu wanataka tuende huwa nakumbuka hii story.
 
Huko Mbudya sio sehemu salama sana, r.i.p Pancho
 
Dah huku kulitaka kumuua Ben pol, kumemuua Pancho Latino who is next beware everybody!
 
Naona kila aliyeenda huko anaapa kutoenda tena .
Weekend hii na mimi nina safari ya huko nitaleta mrejesho.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…