dolevaby
JF-Expert Member
- Aug 25, 2013
- 12,958
- 9,516
daah,,,,,!! huu uzi niwacku nyingi nilkuwa cjauona,,,!! Kwanza labda niseme jambo 1 kwasasa hakuna Mwanamuzi mwenye Music wake binafsi Kwenye Music kuna kitu kinaitwa Music Form n Music Style,,,! sasa ili uandike WMBO lazima hivi vitu uvijue nahivi vipo free kwa mtu.yyt na kwenye Music kila mtu ana Role Model wake,,,,!! naili uwe mwanamuzik Mzuri lazima uwe mckilizaji.mzuri wa Nyimbo hasa kwa yule unaetamani.kuwa km yy kwahiyo hata kumuigiza Nyimbo zake ni jambo lakawaida sana,,!! Ukichukukia bada in Mwanamuzik mchanga Kiukweli mimi ni Fans wa huyu Bwana mdogo nakubali Singing Style yake,,,,,!! Ila kosa kubwa alilofanya nikutosema ukweli lkn kuiga WMBO sio issue,,,!! Nimefatilia comment nyingi humu sio tumaini la kuwasupport maDogo wanaojitutumua Kufanya music mimi naamini ndo mwanzo bt kadri cku zinavyokwenda hatafanya kitu km hiki ninachoamini hata yy hapendi lkn Kwakuanzia cvibaya Kiukweli nasifu uwezo wake km unaweza kuimba Wmbo wa mtu naukafukina basi ww una uwezo,,,,!!