Msanii Ben POL kushtakiwa kuiba nyimbo ya msanii wa amerika, na yeye kuita JIKUBALI

Msanii Ben POL kushtakiwa kuiba nyimbo ya msanii wa amerika, na yeye kuita JIKUBALI

daah,,,,,!! huu uzi niwacku nyingi nilkuwa cjauona,,,!! Kwanza labda niseme jambo 1 kwasasa hakuna Mwanamuzi mwenye Music wake binafsi Kwenye Music kuna kitu kinaitwa Music Form n Music Style,,,! sasa ili uandike WMBO lazima hivi vitu uvijue nahivi vipo free kwa mtu.yyt na kwenye Music kila mtu ana Role Model wake,,,,!! naili uwe mwanamuzik Mzuri lazima uwe mckilizaji.mzuri wa Nyimbo hasa kwa yule unaetamani.kuwa km yy kwahiyo hata kumuigiza Nyimbo zake ni jambo lakawaida sana,,!! Ukichukukia bada in Mwanamuzik mchanga Kiukweli mimi ni Fans wa huyu Bwana mdogo nakubali Singing Style yake,,,,,!! Ila kosa kubwa alilofanya nikutosema ukweli lkn kuiga WMBO sio issue,,,!! Nimefatilia comment nyingi humu sio tumaini la kuwasupport maDogo wanaojitutumua Kufanya music mimi naamini ndo mwanzo bt kadri cku zinavyokwenda hatafanya kitu km hiki ninachoamini hata yy hapendi lkn Kwakuanzia cvibaya Kiukweli nasifu uwezo wake km unaweza kuimba Wmbo wa mtu naukafukina basi ww una uwezo,,,,!!
 
Inaruhusiwa kukopi wakikopi marekani hamna shida bongo inakua noma by the way u need to have talent ili ukopi,ben got talent jay z wimbo wa 'bonnie n clyde'idea toka tupac.
kabla ya huo wimbo wa Ben paul tulikuwa hatuujui huo wa mbele leo baada ya kutoka wa Ben paulo ndo eti wanaanza kuleta fitna, hawa wanamchukia kwa sababu ya Jay dee sio bure
 
Wakimshitaki nitafurahi sana ili waache Huu upumbavu kucopy Kuna taratibu zake pia hatukatai ..
 
Unaweza kuwa Doctor, unaweza kuwa Star
Unataka kuwa Linah, unaweza kuwa Shaa
Kipaji Mali yako, Elimu Ngao yako
Usiache jambo Kati kwenye maisha yako
Unaweza kuwa Diamond, unaweza kuwa Jay
Unaweza kuwa JB, unaweza kuwa Ray
Mi Nakuasa it's your time,
Huwezi kuwa chini you've got somethin' special
Unampenda Lady Jay dee unamzimia Zitto
Trust me iko siku utatimiza ndoto yako
You can be a Boss, you can be a Lawyer
You can be the President

yatosha nisije maliza utamu mie!!!!!!

You can be a thief as well.
 
kabla ya huo wimbo wa Ben paul tulikuwa hatuujui huo wa mbele leo baada ya kutoka wa Ben paulo ndo eti wanaanza kuleta fitna, hawa wanamchukia kwa sababu ya Jay dee sio bure


sema mimi nilikuwa siujui. Ila si wote
 
Back
Top Bottom