Msanii bora Bongo flava 2018

Msanii bora Bongo flava 2018

Team Kiba naona mmechoka mplomoti Boss wenu mmeanza mpigia kampeini Harmonize wa wasafiiii!!!!
 
ben milazo# anayebisha afanye kama anajikuna#in rc mwanri voice
 
harmonize ila sio kwa kupitia kwangaru

napenda sana ile aloimba na prof j sijui inaitwaje very inspired
 
Kwangu mimi ni Hamisa Mobetu na wimbo wake ule nimeusahau jina.
 
Dula Makabila ule wimbo anasema "Chibu dee nae anataka kuingizwa..."

[emoji854][emoji854]
 
Back
Top Bottom