Msanii Chameleon ajirusha ghorofani, avunjika miguu

Msanii Chameleon ajirusha ghorofani, avunjika miguu

Mtaalam

JF-Expert Member
Joined
Oct 1, 2007
Posts
1,371
Reaction score
251
MSANII maarufu wa Uganda, Jose Chameleon amejirusha kutoka ghorofa ya tatu ya Hoteli ya Impala mjini Arusha na kusababisha kuumia vibaya ikiwa ni pamoja na kuvunjika miguu yote.

Chameleon ambaye amekuwa akitamba na nyimbo za ‘Jamila’, ‘Mama Mia’ na nyingine alijirusha kutoka chumbani kwake katika ghorofa ya tatu ya hoteli hiyo alfajiri ya saa 11 kuamkia juzi.

Imeelezwa msanii huyo alishituka akiwa chini amevunjika miguu hiyo na walinzi walikimbilia eneo aliloangukia baada ya kusikia kishindo na kumkuta akiwa hawezi kuinuka.

Hata hivyo haikueleweka kilichomfanya msanii huyo ajirushe, baadaye wenyeji wake ambao ni Clouds FM waliokuwa wamemualika kwa ajili ya shughuli ya Fiesta ya Tanga juzi walibidi kufanya utaratibu wa kumpeleka hospitali.

Lakini baadaye walitakiwa kutomtibu na baba yake aliagiza ndege ambayo ilitua kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa KIA na kumbeba na kumpeleka Uganda ambako amelazwa katika hospitali moja ya nchini humo akipata matibabu.

Kuumia kwa msanii huyo kulisababisha ashindwe kufanya shoo katika tamasha la Fiesta ambako kulikuwa na wasanii wengi wa Tanzania na yeye ndiye alikuwa mgeni aliyetakiwa kuongoza shoo hiyo.

Henry Mdimu, Tanga
 
naombeni pia wenye more info za huo ugonjwa wa sleep walkin watupage hapa maana ishaanzwa kusemwa semwa kuwa yawezekana ni uongo huo umetungwa faster faster ku cover mabo flani flani!

wenye habari zaidi watupage na wajuao anaendeleaje watutonye juu ya huyu msanii wetu wa africa mashariki
 
further more wasanii wetu wapate somo from tukio hilo,wenzetu sanaa ni kazi kweli kweli n they get mijihela humo ndani yake in such a way hata kukodi private jet kuja kumleta mkewe na kumbeba yeye it is possible sasa sie pale kwetu bongo kuna wasaniii wenye kuweza afford nyodo hiyo?au twaishia kuvaa tu na kujiita ma selebriti??wakati hata kukodi tax mbinde?mtu mzimaaaa lakini bado anakaa kwa parents!
 
Karushwa huyo !!!!!kaparamia mizoga ya ar.....

Wakashindwana bei!!!!watu wakamng******************
 
Hebi tufafanulie Mama Mia! Yaelekea habari unayo weye. Nampa pole Jose Chameleon! namtakia apone haraka.
 
Karushwa huyo !!!!!kaparamia mizoga ya ar.....

Wakashindwana bei!!!!watu wakamng******************

Mama Mia,
Kweli yawezekana kwa nini hawataki kutuambia yaliyomsibu? na sisi tunajua mizogo nje nje pale AR. Huenda ni kwa sababu zinazofanana na hizo labda mwenye details atuambie
 
Fiesta ilikuwa Tanga yeye Arusha kulikoniiii?Jamani hapa kuna uwalakini...........
 
Lazima jamaa alikuwa bwii akaona ajaribishe kama anaweza ruka kama kipepeo.....
 
Duh si mchezo jamaa wanadai alikuwa anaota sijui alikuwa anaota anaigiza picha??
Au alikuwa na mzigo ndani wakashindana dau basi ndo hivyo tena ... ngoja tutapata tu dot kwa wahudumu wa hiyo hotel.
 
Duh si mchezo jamaa wandai alikuwa anaota sijui alikuwa anaota anaigiza picha??
Au alikuwa na mzigo ndani wakashindana dau basi ndo hivyo tena ... ngoja tutapata tu dot kwa wahudumu wa hiyo hotel.



hapana kaka ni bangi tu hiyo
 
Bange tu hiyo...au isije ikawa kama mtu kupata ajari ya gari harafu...unakatika mkono tu.
Hakuna hata jeraha kichwani,mguu,mgongoni etc na gari tunaambiwa imeharibika vibaya sana...

Kuna ka walakini hapa..if not bange tu hizo.
 
Bange tu hiyo...au isije ikawa kama mtu kupata ajari ya gari harafu...unakatika mkono tu.
Hakuna hata jeraha kichwani,mguu,mgongoni etc na gari tunaambiwa imeharibika vibaya sana...

Kuna ka walakini hapa..if not bange tu hizo.



watu mnatuboa ummu mbona mnaongea kwa mafumbo simweke mambo wazi aaaah! maana najua mnafahamu tu ukweli wa mambo 🙂
 
Alikuwa na mwanamke anayeitwa lily mwenyeji wa arusha walitoka nae nairobi mpaka wakati huo wa tukio sasa haileweki kama lily anahusika na tukio hilo au la lily ni mwanamke wa wakili maarufu hapo mjini arusha anayekaa karibu na chuo cha uhasibu
 
The truth about the scene in different sources:

Source 1(Spoti starehe)
Superstar,Jose Chameleone was on Saturday admitted in Nsambya Hospital, Kampala, after sustaining crash fractures on both his calcenus bones of both his lower legs according to hospital reports. The singer is said to have fallen unconsciously from the third floor of a hotel in Arusha, Tanzania.

The singer who had travelled to Arusha in Tanzania for his routine regional performances, sleepwalked through the window from his room on the 3rd floor at Impala Hotel and hit his torso down on the ground.

he woke up sorrounded by people who called the air ambulance and was airlifted to Kilimanjaro airport where he was immediately flown to Entebbe airport and transferred to Nsamya Hospital where is under intensive medical attention.

Check it here Jose Chameleone still in Hospital « Spoti na Starehe

Source 2(Ego Image Kenya)
Jose Chameleone a.k.a Joseph Mayanja last Friday night, survived death narrowly when he sleepwalked through the window of his hotel room on the third floor of Impala Hotel in Arusha.

Chameleone who had traveled to Tanzania for weekend music shows in Arusha and Tanga; broke both lower bones of his legs.

‘He got injuries on the lower legs; it is a crash fracture of calcenus bones of both legs,” explained Kenneth Obwot, a doctor who airlifted him from Kilimajaro Airport.

Obwot said that Chameleone walked up from his dreams and went through the windows. The singer was alone in the room and the door remained closed. He landed from the third floor of Impala Hotel in Arusha, Tanzania, but was lucky; he had no other injuries apart from the bone fractures.

Chameleone says he went safely to his hotel room after his music show; changed clothes to boxers and slept. But he was shocked to find himself surrounded by people hours later; others were calling him a thief! He was in pain; but one of the onlookers identified him and rushed to call promoters who had taken him to Tanzaina.

As soon as the promoters arrived; they rushed him to Arusha Hospital; where he immediately contacted his wife to charter a plane which airlifted him from Kilimajaro Airport to Entebbe International Airport. He was admitted to Nsambya Hospital at 10:00pm on Saturday 4th October 2008.

cHECK IT HERE Egoimagekenya » Hot Gossip » Chameleone survives death

Source 3: African Press

Ugandan singer injured in Tanzania
Uganda\’s celebrated musician Joseph Mayanja aka Jose Chameleone, famed for his Kiswahili songs understood throughout East Africa and the Democratic Republic of Congo, is admitted in a Kampala hospital following a limb injury at the northern Tanzania town of Arusha on Saturday.

According to his promoters and local media, Chameleone was flown to Kampala with injured limbs after falling off the third floor of Impala Hotel in Arusha.

The singer had reportedly traveled with his younger brother Emma Mayanja, also a singer, to Tanzania to perform at a music show.

Chameleone told his local fans and the media from his hospital bed on Sunday that he could hardly remember the events that led to his falling from the hotel room.

\”I remember going to my bed that night and slept. But the next time I opened my eyes, I was on the floor surrounded by several people. I cried because I was feeling a lot of pain and I could neither stand up nor turn my body,\” he said.

Sources said that the hoarse-voiced singer is believed to have sleepwalked through the window of his hotel room.

The hotel management rushed him to AICA Hospital in Arusha where he was first admitted before he called his wife, Daniella Atim, who later organized for the singer to be flown to Kampala in a private chartered plane.

According to hospital sources, Chameleone broke both his ankle joints and would undergo another scan.
—————
API/Source.apa

Check it here Chameleone the Uganda-singer-hospitalized « African Press International (API)

Uki-tally the 3 posts above uta-sense the truth..
 
Habari nilizonazo ni kwamba Leo sasubuhi majira ya saa 1:00 ajali mbaya na yakusikitisa imetokea maeneo ya UNGA LTD Arusha Haisi iligonga watoto wawili na kufa hapohapo. Pamoja na watoto hao kufa dereva aliekuwa anaendesha haisi hio nae yuko mahutiuti baada ya kupata kipigo kutoka kwa wananchi wenye hasira.

HABARI ZAIDI NITAWALETEA.
 
Sasa jamani Mgiriki na wewe kwanini umeweka habari ya kusikitisha namna hii kwenye "entertainment forum"? Pia licha ya kusikitisha haihusiki na celebrities.
Mods........
 
Huyo Chameleon ana harufu zote za fumanizi.
 
Aisee halafu ukicheki hiyo picha kwenye link mbona jamaa amepauka namna hiyo? Duh, jamani miguu iko "ashy" ile mbaya, aibu
 
Back
Top Bottom