Super Handsome
JF-Expert Member
- Jul 16, 2013
- 3,844
- 6,448
nimesoma heading vibaya nilidhani ni yule nyoka makengeza aka ATM ya chama
nimesoma heading vibaya nilidhani ni yule nyoka makengeza aka ATM ya chama
Hata yale mapete mawili mawili ya viongozi wako ni ndumba.
Itabidi sasa aifungie kwenye shingo ya dushe.
Tumeona betri mkuu.
hapana hujaona vizuri...ukiangalia vizuri ni saa ya mkononi imelegea mkanda hahaha