nimesoma heading vibaya nilidhani ni yule nyoka makengeza aka ATM ya chama
Acha ungese, embu soma walichoandika kwenye t-shirt zao then utaelewa,
Hicho ni kitambaa cheusi kumuenzi mez b
Mbona hamkumsaidia kipindi anaumwa?,Moses alifika mahala hana msaada hadi mama yake alipokuja ku chukua kwenda naye Dodoma.
Tuache tabia hizi za kinafiki.
Kutoa msaada ni jambo jema lakini ni vigumu kumsaidia mtu mmoja mmoja kwani wenye matatizo ni wengi na kila mtu ana matatizo yake. Hata hivyo usiseme Mez B alikosa msaada, si alipata msaada kutoka kwa mama yake, sasa wewe ulitaka apate msaada kutoka wapi?
Usikurupuke kujibu hoja tafakari kwanza inaelekea hata hukuelewa mantiki yangu.
Kwa hiyo kama mtu hakusaidiwa akiwa mgonjwa ndo hata msiba ususiwe?Mbona hamkumsaidia kipindi anaumwa?,Moses alifika mahala hana msaada hadi mama yake alipokuja ku chukua kwenda naye Dodoma.
Tuache tabia hizi za kinafiki.
Ni kwaajili ya msiba wa mez b mleta mada acha kupotosha
Heri ndugu umeliweka sawa hili maana wengi walikua gizani na kukurupuka kutoa maneno ya ajabu ajabu....
Ninazo picha nyingi sana walivaa wasanii wengi sio yeye tu ila ndio tulivyo tunapenda kuzungumza vitu vya kuambiwa bila kujiridhisha kwa kuhahiki na hata kwenye instagram yake kaelezea ila mleta mada kayakuza na kuingiza hata wasiokuwepo mara kigoma all star dah wabongo noma
Ni saa kweli? Mbona kama ni kitu kimefungwa? Imelegea ijishike hivyo? Labda mm sioni vizuri