Msanii Chemical aonyesha maujuzi ya kunengua japo ni mkali wa hiphop

Dogo anazidi kupoteza tuuuu.... from hip hop to singeli lol.

Sent from my Siemens kidole juu using JamiiForum mobile app.
 
Msanii wa hiphop Chemical aonyesha maujuzi ya kunengua kwa kuwa watu wanamuona yeye ni mgumu kwakuwa anafanya mziki wa hiphop ngumu ila amethibitisha kuwa anaweza kucheza singeli kama wadada wengine.

Huyu naye tokea amepigwa vizuri na dudu na yule jamaa wake utom boy wote umeisha

Nampongeza aliyemfikisha kilelen huyu had kajua utamu wa dudu
 
Sio kila kitu huwa kina rudi.... ulitumia miaka 20 kuwa mwanaume sasa unategemea utatumia muda gani kurudi kwenye uanamke?
Mkuu wapo walio rud na had leo ni warembo na wengine wameolewa namkumbuka mmoja sasa Hiv kazaa na ni bonge la mrembo

Ukitaka tom boy abadilike mpe dudu vizur na muandae kisaikolojia ajue yeye ni mwanamke
 


We jamaa acha kuchukulia kila kitu serious. Halafu hapo mi sioni anajililisha vipi!
 
Akamnengulie stereo tuone

Chura bin Zigo kwanza mengine baadaye
 
Huyu ni wakutafuta Aisee, inawezekana papuchi yake iko na utamu amazing

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…