Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi unaijua Epilepsy?Naona alikuwa ana kifafa
[emoji1787][emoji1787] umenena vyema eti kahitimisha kabisaHuna hata DEATH REPORT kutoka kwa QUALIFIED MEDICAL EXPERT lakini umeshahitimisha kafa kwa HEART ATTACK!!
Na kwa jinsi nyie mlivyo MAGOIGOII na MAZEZETA, ni rahisi sana mtu kufanyiwa jambo baya lakini pakawepo watu wa kusema ni HEART ATTACK.
Kuna wale MATAPELI wakatuambia MAGUFULI sijui HANA BETRII... UPUMBAFU!!
Tukiwa na taifa lenye MAHOVYOHOVYO WENGI huwezi kujua hata ukweli ni upi.
Kukariri kariri tu, ati CARDIAC ARREST [emoji50][emoji50]
Unacho sema kinaniingia akilini, huwez hit hata sikumoja bila mganga ndele [emoji1787][emoji1787]Wewe Unalazimisha mawazo yako watu wayaamini , vyote vinawezekana Kwanza huwez tenganisha uchawi , freemason na mziki huwezi , kama Unabisha Anza kuimba Leo upate hitsong uone , hata ulilosema heart attack pia inawezekana , lakn lazima tureview health record yake kama alikuwa na hyo shida , 27 years too young
Mimi nilishindwa kuelewa alivyo dondoka mara ya kwanza asinge acha tu? Maana naimani kunakitu hakikua sawa kabisa ila aliendelea.Dahh, mwana alidondoka mara ya 1 akainuka, mara ya 2 naona ndo ikawa 1 kwa 1, R.I.P CostaT
Fungua kanisa jf pia ww kama ni mtu wa dini umepitia nyuzi za msanii kutafuta nn? Ww nenda kwenye nyuzi za injili hii ya msanii haikuhusu.Ww mwenye akili,umekuja kwenye comment ya mpumbavu kufanya nn Kama na ww siyo mpumbavu mwenzangu?
Kwanza huu uzi unamhusu? Uzi wa msanii hata kama kafariki yeye alitakiwa aingie kwenye uzi wa wanainjili tu.Sasa ulitaka akuache na upumbavu wako pasipo kukugawia maarifa ya kiakili kidogo?
Sina uhakika na hicho kifafa maana mtu anakifafa adondoke mara ya kwanza pale stejini alafu arudie tena chenyewe huwa kikija kimekuja mazima.Nimeona video alivyodondoka ni kifafa kabisa alivyoanguka chin akaanza kukakamaa sasa sijui aliacha dawa au siku imefika tu tu
Mtu wa kifafa utamshika wewe?Wanasema alikuwa hatumii kikevi chochote kile kwa sababu alikuwa ana kifafa ,kama umeona video oale chin alikakamaa kama watu wa kifafa wanavyokuwa,nadhan kungekuwa na mtu wa afya angemsaidia kama daktari wake kwa sababu alikuwa anajijua ana shida hiyo ,na hizo kelele na taa
We nae si uelezeee unauliza tu maswali elezea bana nimechoka maswali mimMtu wa kifafa utamshika wewe?
Nitolee kiherehere chako,umetumwa nn?Kwanwakati naandika nilikushirikisha au unatafuta Kiki?weee vpi???kwendraaaaaaaaaaaaFungua kanisa jf pia ww kama ni mtu wa dini umepitia nyuzi za msanii kutafuta nn? Ww nenda kwenye nyuzi za injili hii ya msanii haikuhusu.
Kwenda mwenyewe unajifanya mtu wa Mungu kumbe hamna kitu.Nitolee kiherehere chako,umetumwa nn?Kwanwakati naandika nilikushirikisha au unatafuta Kiki?weee vpi???kwendraaaaaaaaaaaa
Tuungane tufungue kanisa nina mtaji wa kiwanja na hela za kujengaMuonekano wangu Yes naweza kua pastor Ila sihitaji kua pastor wa mchongo, na sina MPANGO huo nitabaki kua mtazamaji tu yaan mtu anakushawishi kwamba wewe una kitu ndani na ukichanganya na muonekano unafaa kabisa kua pastor aisee Mimi niwe pastor?
Hapana aisee SIWEZI,Tuungane tufungue kanisa nina mtaji wa kiwanja na hela za kujenga