Cannabis
JF-Expert Member
- Jan 20, 2014
- 11,557
- 33,535
Aaondoa ushahidi fadhila alizofanyiwa naona huyu kijana hataki kulipa fadhila🐒Tutasikia mengi wanaanzaga hivi hivi.
View attachment 2077862
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aaondoa ushahidi fadhila alizofanyiwa naona huyu kijana hataki kulipa fadhila🐒Tutasikia mengi wanaanzaga hivi hivi.
View attachment 2077862
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣wamkimbie tu hanajipya kazi kuimba mipashotu
[emoji23][emoji23][emoji23]Ibraaah Konde music wowaaaaaaaiii akimaanisha Konde Music Worldwide
🤣🤣🤣 Konde au Kantri?mi ndio nimemjua leo kwenye huu uzi.....
Ni underground mbona hata ngoma yake hata moja siifahamuLeo Tarehe 08/01/2021 Kupitia Ukarasa Rasmi Wa Instagram Wa Kondegang Umethibisha Mkataba Wa Country Wizzy Na Kondegang Umefika Tamati ...,
Kuanzia Sasa Country Wizzy Atakuwa Msanii Anayetegemea ..., Za Chini Ya Kapeti Killy Na Cheed Nao Wanataka Kujitoa Ila Boss Wao Harmonize Anataka Gharama Zakuvunja Mkataba.
Kantri, ndo kaimba wimbo gani?🤣🤣🤣 Konde au Kantri?
😝😝 Kabla hajaingia Kwa Nchumari aliachia Album moja inaitwa Yule Boy ilikua njema.Kantri, ndo kaimba wimbo gani?
Ahsante kwa kunifahamisha ndugu, ngoja nicheki hizo songi possible nasikia ila muimbaji simjui😝😝 Kabla hajaingia Kwa Nchumari aliachia Album moja inaitwa Yule Boy ilikua njema.
Pini moja linaitwa Kibegi.
View attachment 2079254
Kuna moja alifanya inaitwa "Turn up" ft Mwanafa ili hit Sana ndio wimbo wake uliotamba Sana kuliko wimbo wake wowote na ndio wimbo kipindi hicho ulivyotoka ulifunika nyimbo zote zilizotoka kipindi hicho so anza na Huu wimbo kusikiliza alafu nipe mrejesho.Ahsante kwa kunifahamisha ndugu, ngoja nicheki hizo songi possible nasikia ila muimbaji simjui
[emoji1787]Daah!! Jamaa alinunuliwa CrownHuyo kantri alicho ambulia kweye hilo genge ni kununuliwa tu bange za bure
Sasa Babuu wa Kitaa ana nini cha kumsaidia mdogo wake!?Brother wake Sedou Mandingo ameshindwa kumsaidia!?
Huyu Killy anayeburuza chart ya bongo sasa hivi ni mwingine nini?? Au sijakuelewaKilly hana nyota ila msanii mzuri. Hata kabla ya kujiunga kings ana wimbo flani video ilitengenezwa an nisher mkali lakini haukuwika
Chart gani hizo?[emoji44]Huyu Killy anayeburuza chart ya bongo sasa hivi ni mwingine nini?? Au sijakuelewa
Chati gani mkuu? Killy ni msanii ambaye mtu akiulizea ataje wasanii 20 wengi wala hawawezi mkumbuka. Hivyo, bado sana. Sema ni msanii mzuri ila ndo nyotaHuyu Killy anayeburuza chart ya bongo sasa hivi ni mwingine nini?? Au sijakuelewa
Wote[emoji848]Country au Harmo...
.
Kazi ipoLeo Tarehe 08/01/2021 Kupitia Ukarasa Rasmi Wa Instagram Wa Kondegang Umethibisha Mkataba Wa Country Wizzy Na Kondegang Umefika Tamati ...,
Kuanzia Sasa Country Wizzy Atakuwa Msanii Anayetegemea ..., Za Chini Ya Kapeti Killy Na Cheed Nao Wanataka Kujitoa Ila Boss Wao Harmonize Anataka Gharama Zakuvunja Mkataba.