Msanii Country Boy Rasmi Ameachana Na Recording Label Ya Kondegang

Msanii Country Boy Rasmi Ameachana Na Recording Label Ya Kondegang

Leo Tarehe 08/01/2021 Kupitia Ukarasa Rasmi Wa Instagram Wa Kondegang Umethibisha Mkataba Wa Country Wizzy Na Kondegang Umefika Tamati ...,

Kuanzia Sasa Country Wizzy Atakuwa Msanii Anayetegemea ..., Za Chini Ya Kapeti Killy Na Cheed Nao Wanataka Kujitoa Ila Boss Wao Harmonize Anataka Gharama Zakuvunja Mkataba.
Ni underground mbona hata ngoma yake hata moja siifahamu
 
Kantri, ndo kaimba wimbo gani?
😝😝 Kabla hajaingia Kwa Nchumari aliachia Album moja inaitwa Yule Boy ilikua njema.

Pini moja linaitwa Kibegi.

771233DF-94D9-4169-9AE9-430126AF5F43.png
 
Ahsante kwa kunifahamisha ndugu, ngoja nicheki hizo songi possible nasikia ila muimbaji simjui
Kuna moja alifanya inaitwa "Turn up" ft Mwanafa ili hit Sana ndio wimbo wake uliotamba Sana kuliko wimbo wake wowote na ndio wimbo kipindi hicho ulivyotoka ulifunika nyimbo zote zilizotoka kipindi hicho so anza na Huu wimbo kusikiliza alafu nipe mrejesho.
 
Killy hana nyota ila msanii mzuri. Hata kabla ya kujiunga kings ana wimbo flani video ilitengenezwa an nisher mkali lakini haukuwika
Huyu Killy anayeburuza chart ya bongo sasa hivi ni mwingine nini?? Au sijakuelewa
 
Huyu Killy anayeburuza chart ya bongo sasa hivi ni mwingine nini?? Au sijakuelewa
Chati gani mkuu? Killy ni msanii ambaye mtu akiulizea ataje wasanii 20 wengi wala hawawezi mkumbuka. Hivyo, bado sana. Sema ni msanii mzuri ila ndo nyota
 
Leo Tarehe 08/01/2021 Kupitia Ukarasa Rasmi Wa Instagram Wa Kondegang Umethibisha Mkataba Wa Country Wizzy Na Kondegang Umefika Tamati ...,

Kuanzia Sasa Country Wizzy Atakuwa Msanii Anayetegemea ..., Za Chini Ya Kapeti Killy Na Cheed Nao Wanataka Kujitoa Ila Boss Wao Harmonize Anataka Gharama Zakuvunja Mkataba.
Kazi ipo
 
Back
Top Bottom