Msanii Daz Baba achanganyikiwa na kuwa kichaa, inavyosemekana chanzo bangi na madawa ya kulevya

toto zuli

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2012
Posts
265
Reaction score
279
Msanii wa miondoko ya hip hop alimaarufu Daz Mwalimu au daz baba...amechanganyikiwa na kuwa kichaaa hii inavyosemekana ni kuwa ni bangi na utumiaji wa madawa ya kulevya.

Inavyosemekana alianza kuchanganyikiwa akiwa Morogoro alipokwenda nyumbani kwa Afande Sele na kuanza kuropoka maneno ya ajabu ajabu...mara kukimbia ovyoo kuongea maneno ambayoo hayaelewekiii mara sasa anaonekana majalalani.

Ila wadau wa karibu wanavyosema kuwa madawa ya kulevya aliokuwa anatumia bangi maana alikuwa kama teja sasa ni kichaaaa.

source;blogs zote,mpekuzi,special na magazeti ya burudanii
 
Alijichagulia upuuzi sasa akubari matokeo mabaya mi hainishangazi yeye kuwa kichaa
 
Hizo ndizo athari za wasanii kuishi maisha yao kwenye fast lane, wamefanikiwa kutengeneza hela lakini wamejiingiza kwenye madawa ya kulevya. Ni vizuri wale walio karibu naye wampeleke kwenye madaktari husika na baadaye apelekwe rehabilitation.
 
mmh tunaangamia kwa kukosa maarifa!ni fursa nyingine kwa vijana wetu hususani wasanii wa muziki na filamu kujifunza kwa haya yanayomtokea daz baba.
 
its true angekua na jinsia kama ya ray c angesaidiwa ila mzee mwenyewe same instrument mmmmmh! Wasanii hilo ndo tatizo lao wanaendekeza sana bangi na madawa, mfano Linex,TID,afande sele,chege hawa ukiwaona tu sura zao unajua wanatumia
 
wasanii wa kibongo inabidi waanzishe kaumoja kao ka kusaidiana kwenye majanga kama haya la sivyo hamna wa kuwasaidia,.
 
akabadilishe jinsia na sura yenye mvuto kuna mtu mmoja pale ikulu atamsaidia na kupiga naye picha
 
TID ni miongoni mwa wanyamwezi wangu anayeelekea katika uchizi kama family yake au watu wake wa karibu wasipochukua hatua!......kitambo kuna kundi la bongo flava la kuitwa GWM,lilikuwa na mapacha wawili dotto na kurwa,wote hawa wawili ni machizi sasa hivi!
 
daz Baba nshakuwa mtu mzima mimi
Sasa nahitaji mrembo wa kuishi nami
Kuzaa na kulea watoto nami
Kwenye shida na raha avumilie namii
 
asinifanyie kama Barua
Asababishe nijaribu kujiua
Anipe mapenzi nimpe mapenzi
naye ayaenzi asinifanyie ushenzi...
 
Muuza sura kuna kipindi mlisema kuwa watoto wa kino mmemuandalia dozi mnyama ili aache sembe. mlifikia hatua gani au hashauriki!
 
asinifanyie kama Barua
Asababishe nijaribu kujiua
Anipe mapenzi nimpe mapenzi
naye ayaenzi asinifanyie ushenzi...

Nitafurahi kumpata
mwenye sifa zote nazotaka
kiuno anajua kukata
Mpaka nimedata sitomwachaa

Muda umeshafika sasa Daz nahitaji waifu
wa kuishi naye
warembo wapo wengi sa sijui yupi atayenifaa
mi kuishi naye

Dah. R.I.P Ngwea, Get well soon Daz Mwalimu..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…