Msanii Diamond akabidhiwa shule Sumbawanga,sasa kuitwa jina lake "Diamond"

Msanii Diamond akabidhiwa shule Sumbawanga,sasa kuitwa jina lake "Diamond"

Madimba jr

JF-Expert Member
Joined
Aug 12, 2017
Posts
1,577
Reaction score
3,146
Hii ni habari njema kwa wasanii wa Tanzania kuona wanapewa heshima ya kutosha,tulishazoea kuona wanasiasa tu ndio wanapewa heshima kama hii,sasa ni zamu ya wasanii natamani siku nyingine kusikia Marijan rajabu primary school au King Majuto Road,au Ali Kiba Hospital,hapa tuweke team pembeni heshima ya Kitaifa ya wasanii wetu inahitajika sana mana wao ndio pekee wanaoitangaza nchi yetu kimataifa na sio team ya taifa wala Mh.Lusinde.
1544277703915.jpg
 
Hongera kwa kijana! Anaitendea haki talanta yake inamnufaisha yeye na jamii. Sindelela yuko anakunywa Mo faya
 
hata alikiba amekabidhiwa shule huko kigoma inaitwa king kiba ila hapendi show off tu.
 
Back
Top Bottom