Madimba jr
JF-Expert Member
- Aug 12, 2017
- 1,577
- 3,146
- Thread starter
-
- #41
Okkwa nafasi yake, nickname is best thn his real name...wengi wanamjua kwa jina la kisanii diamondplatnumz...na ibaki hivyo,kwa jina lake halisi itakuwa rahisi kusahaulika kama ndo yeye alikusudiwa...jina lake la kisanii ndo litaishi milele na milele...mfano mzuri 2pac, bob marley, P.I.G, etc
Mkuu labda ungeelezea hapa,kwanini unasema/unaamini yakua hayupo vizuri kichwani?Really kama unamuona yuko vizuri kichwani basi we na yeye mna mataizo makubwa
Kula uliwe , wewe unataka ule wewe tuuu kuliwa Utaki?Hii ni habari njema kwa wasanii wa Tanzania kuona wanapewa heshima ya kutosha,tulishazoea kuona wanasiasa tu ndio wanapewa heshima kama hii,sasa ni zamu ya wasanii natamani siku nyingine kusikia Marijan rajabu primary school au King Majuto Road,au Ali Kiba Hospital,hapa tuweke team pembeni heshima ya Kitaifa ya wasanii wetu inahitajika sana mana wao ndio pekee wanaoitangaza nchi yetu kimataifa na sio team ya taifa wala Mh.Lusinde.View attachment 960484
68M
Not a joke! Hongera kwake.
mkuu huu wimbo mzito
najaribu kukuelewa ila akili haitakiKula uliwe , wewe unataka ule wewe tuuu kuliwa Utaki?
Hata kiba aliwahi kudhamini shule huko kusini, sema tu sio mtu wa kujionesha.
Akikaa week moja atakabidhiwa na Mke kabisa
Bahati mbaya sipo sumbawangaNa mke mwenyewe ni wewe hapo
Cha ajabu wewe umejua.Hata kiba aliwahi kudhamini shule huko kusini, sema tu sio mtu wa kujionesha.
Namaanisha diamond anapata pesa kutokana na sisi kwahiyo inapendeza kurudisha fadhilanajaribu kukuelewa ila akili haitaki
Wake mkuuAkikaa week moja atakabidhiwa na Mke kabisa