Achukue tuu..
Tumeshazoea! !!
Hakika huyu kijana anastahili pongezi kubwa kwa kupeperusha vema bendera ya Tanzania…Ameshinda tena tuzo za IRAWMA zinazo fanyika nchini Marekani…kupitia nyimbo yake mdogomdogo katika kipengele cha mburudishaji bora wa Afrika wa mwaka(best african entertainer)
Hakika huyu kijana anastahili pongezi kubwa kwa kupeperusha vema bendera ya Tanzania Ameshinda tena tuzo za IRAWMA zinazo fanyika nchini Marekani kupitia nyimbo yake mdogomdogo katika kipengele cha mburudishaji bora wa Afrika wa mwaka(best african entertainer)
Dinazarde #Bringavatorback campaignWachaaa wwee waliosema kitorondo mwisho msata njoon huku muyaonee
Dinazarde #Bringavatorback campaign
Hiyo bendera alikabidhiwa na nani akaipeperushe?
Achukue tuu..
Tumeshazoea! !!
Hhhhhhaaa jamanii ile avatar ina ninii banaa,mi nimeona niweke picha yangu kabisaaa, hutakii
Huyo ni wewe kwenye avatar?
Achukue tuu..
Tumeshazoea! !!