Msanii Diamond platinum alimrudia Wema ili kuboresha kiingereza chake

Msanii Diamond platinum alimrudia Wema ili kuboresha kiingereza chake

Tanganyika ngumu aseee, magamba hayataki kuisikia halafu ndio yako mengi.


Sent from my iPad using JamiiForums mobile app

Kumbee lakin wananchi si tunatakaa au vipiii kwa hiyo utafanyajee kutusaidiaa huko!!!!!
 
Jaman mmeona huu mwendelezo wa project. Haya ni yaliyojiri #CHOMVA
 

Attachments

  • 1417301689306.jpg
    1417301689306.jpg
    33 KB · Views: 482
  • 1417301712014.jpg
    1417301712014.jpg
    43.2 KB · Views: 442
Hakuna kurudi kwa Wema wetu. Muache aendelee kuboronga. Leo amejing'ata kiingilishi Kama yuko ukweni vile
 
Mi napenda waishi kwa upendo siyo kimaslahi au kupata umaarufu.

Kama wanapendana ni sawa ila wanaendana sababu wote wana list ndefu

Unapenda mapenzi ya wenzako kama kadinda?..halafu eti unajiita stuna.. mzima kweli wewe au nawe wali nazi?
 
Unapenda mapenzi ya wenzako kama kadinda?..halafu eti unajiita stuna.. mzima kweli wewe au nawe wali nazi?

we mburula umekuja kufanya nini umu kwenye jukwaa la celebrities ?

nenda jukwaa lako la siasa ukapate ugongwa wa moyo utuache.mijitu mingine sijui vipi.Unajua kabisa kabisa jukwaa ili la vimbwanga vya celebrity harafu unadandia treni kwa mbele.Usisababishe niongee vibaya
 
Mbona wasanii kibao tu hawajui kutema yai?? si lazima sana ila ni muhim na atajua tu mda ukifika, bila yai kapata tuzo tatu am proud of Diamond jamani kajitahidi sana tumpongeze tu kwa hapo alipofika.
 
Mbona wasanii kibao tu hawajui kutema yai?? si lazima sana ila ni muhim na atajua tu mda ukifika, bila yai kapata tuzo tatu am proud of Diamond jamani kajitahidi sana tumpongeze tu kwa hapo alipofika.

siyo atajua sasa hivi ashajua anatema ngeli safi .Mtoto wa Tandale ana juhudi sana.pongezi kwake na management yake yote babu tale na said fellah
 
Hakuna kurudi kwa Wema wetu. Muache aendelee kuboronga. Leo amejing'ata kiingilishi Kama yuko ukweni vile
English sio lugha ya Diamond, kwake kikubwa ni hiki:
The 2014 Channel O African Music Awards belonged to Cassper Nyovest and Diamond Platnumz tonight. They were both the biggest winners scooping three awards each. Cassper walked away with Most Gifted Male, Most Gifted Southern and the big one, the Most Gifted Video of the year. Diamond Platnumz on the other hand walked way with the Most Gifted Newcomer, Most Gifted Afro Pop and Most Gifted East. Olamide, Kcee, Wikzid and Tiwa Savage representing Nigeria bagged one each.Take a look at the full list of this years winners below and drop your comments.

Most Gifted Male

Cassper Nyovest – Doc Shebeleza


Most Gifted Female

Tiwa Savage ft Don Jazzy – Eminado


Most Gifted Newcomer

Diamond – Number One


Most Gifted Duo, Group or featuring

Kcee ft Wizkid – Pull Over


Most Gifted Dance

Busiswa ft Various – Ngoku


Most Gifted Ragga Dancehall

Buffalo Souljah – Turn Up


Most Gifted Afro Pop

Diamond – Number One


Most Gifted Kwaito

Uhuru ft Oskido & Professor – Y-tjukutja


Most Gifted R&B

Donald – Crazy but amazing


Most Gifted Hip Hop

AKA – Congratulate


Most Gifted Southern

Cassper Nyovest – Doc Shebeleza


Most Gifted West

Olamide – Turn Up


Most Gifted East

Diamond – Number One


Most Gifted Video of the year


Cassper Nyovest – Doc Shebeleza
KWA mara nyingine, kijana hajatuangusha.... aaahh, na leo tena nyama, mnatuumiza pua jamani!!!!

http://channelo.dstv.com/2014/11/choamva14-winners/
 
we mburula umekuja kufanya nini umu kwenye jukwaa la celebrities ?

nenda jukwaa lako la siasa ukapate ugongwa wa moyo utuache.mijitu mingine sijui vipi.Unajua kabisa kabisa jukwaa ili la vimbwanga vya celebrity harafu unadandia treni kwa mbele.Usisababishe niongee vibaya


Unasemaje Stuna? nikuachie jukawaa Stuna? ahh Stuna bana!.. Punguza basi kulalamika na kubana sauti!
 
Back
Top Bottom