Money Stunna
JF-Expert Member
- Aug 9, 2011
- 13,053
- 6,304
Huu ni utafiti wangu na maoni yangu mimi ( Money Stunna)
Utafiti huu umeangalia wanawake mbalimbali ambao msanii diamond alikuwa nao kwa kipindi tofauti hakuna ambao aliomsaidia zaidi ya Wema tu.
Diamond mwenyewe amekuwa akikiri ilo kufundishwa ngeli na wema.
Pia diamond hana mapenzi ya kweli kwa wema kumbuka walivyoachana alilalamika kumfumania wema mara nyingi na ata na rafiki zake.
Pia aliwai kumrekodi wema na kuirusha kwenye mitandao.
Sasa hivi diamond amekuwa msanii wa kimataifa hivyo uitwa sana kwenye interview msaada pekee ni wema kwa sasa.
Wema uwa anapenda sana kuongea english muda wote niliwai kukutana naye Malaysia, Kuala lumpur 2008.Kipindi hicho anasoma Nirai nje kidogo ya kuala lumpur.
Ni mdada mzuri. Mpole anayependa kuongea english muda wote, akiongea kiswahili basi ujue ni kiswaenglish. Ukiwa na wema lazima ujue english.
Hivyo diamond akiiva yani kuwa fluent na english ataanza tena kurukaruka.
Huu ni utafiti wangu mie stunna kwa uzoefu na uchambuzi pia kuwasoma ma celebrities
Utafiti huu umeangalia wanawake mbalimbali ambao msanii diamond alikuwa nao kwa kipindi tofauti hakuna ambao aliomsaidia zaidi ya Wema tu.
Diamond mwenyewe amekuwa akikiri ilo kufundishwa ngeli na wema.
Pia diamond hana mapenzi ya kweli kwa wema kumbuka walivyoachana alilalamika kumfumania wema mara nyingi na ata na rafiki zake.
Pia aliwai kumrekodi wema na kuirusha kwenye mitandao.
Sasa hivi diamond amekuwa msanii wa kimataifa hivyo uitwa sana kwenye interview msaada pekee ni wema kwa sasa.
Wema uwa anapenda sana kuongea english muda wote niliwai kukutana naye Malaysia, Kuala lumpur 2008.Kipindi hicho anasoma Nirai nje kidogo ya kuala lumpur.
Ni mdada mzuri. Mpole anayependa kuongea english muda wote, akiongea kiswahili basi ujue ni kiswaenglish. Ukiwa na wema lazima ujue english.
Hivyo diamond akiiva yani kuwa fluent na english ataanza tena kurukaruka.
Huu ni utafiti wangu mie stunna kwa uzoefu na uchambuzi pia kuwasoma ma celebrities
Last edited by a moderator: