Msanii Diamond Platinumz apania kufanya kufuru ya mwaka

Msanii Diamond Platinumz apania kufanya kufuru ya mwaka

AdvocateFi

JF-Expert Member
Joined
Jan 15, 2012
Posts
11,492
Reaction score
5,047
JF,..
Yule msanii na bingwa wa miondoko ya Afro pop music barani Afrika, Diamond yupo mbioni kuachia video zake 2 kwa mkupuo za nyimbo zake mpya, na inasemekana video hizo zimegharimu zaidi ya Tsh.milion 120 pia zote zimerokodiwa nje ya nchi kwa makampuni makubwa ya kimataifa,

My take:
ni vyema wasanii wadogo wa kibongo wangejaribu kukaa na Diamond ili kujifunza mambo mawili matatu ili nao waweze kuyafikia mafanikio analioyafikia msanii mwenzao Diamond.
 
JF,..
Yule msanii na bingwa wa miondoko ya Afro pop music barani Afrika, Diamond yupo mbioni kuachia video zake 2 kwa mkupuo za nyimbo zake mpya, na inasemekana video hizo zimegharimu zaidi ya Tsh.milion 120 pia zote zimerokodiwa nje ya nchi kwa makampuni makubwa ya kimataifa,

My take:
ni vyema wasanii wadogo wa kibongo wangejaribu kukaa na Diamond ili kujifunza mambo mawili matatu ili nao waweze kuyafikia mafanikio analioyafikia msanii mwenzao Diamond.

upambe wa kijinga huu tuwekee hapa invoice ya matumizi ya hizo pesa, kama mafanikio ni kupiga picha na Nelly basi sawa.
 
JF,..
Yule msanii na bingwa wa miondoko ya Afro pop music barani Afrika, Diamond yupo mbioni kuachia video zake 2 kwa mkupuo za nyimbo zake mpya, na inasemekana video hizo zimegharimu zaidi ya Tsh.milion 120 pia zote zimerokodiwa nje ya nchi kwa makampuni makubwa ya kimataifa,

My take:
ni vyema wasanii wadogo wa kibongo wangejaribu kukaa na Diamond ili kujifunza mambo mawili matatu ili nao waweze kuyafikia mafanikio analioyafikia msanii mwenzao Diamond.

Ebu tupishe apa na wewe huna mpya, yani mashabiki wa ndomo ni washamba na malimbukeni kama boss wao
 
upambe wa kijinga huu tuwekee hapa invoice ya matumizi ya hizo pesa, kama mafanikio ni kupiga picha na Nelly basi sawa.

umevurugwa ww si bure, naona umekurupuka kurply pasipo kuelewa content ya thread.
 
Siamini mimi wanaojiita watu wa Diamond maana ni waongo hizo video zinaweza zisifike hiyo thamani.
 
Siamini mimi wanaojiita watu wa Diamond maana ni waongo hizo video zinaweza zisifike hiyo thamani.

Mkuu hii habari ni sahii kwa mujibu wa chanzo, ukienda kwenye web ya Bongokwel utakuta hii habari.
 
JF,..
Yule msanii na bingwa wa miondoko ya Afro pop music barani Afrika, Diamond yupo mbioni kuachia video zake 2 kwa mkupuo za nyimbo zake mpya, na inasemekana video hizo zimegharimu zaidi ya Tsh.milion 120 pia zote zimerokodiwa nje ya nchi kwa makampuni makubwa ya kimataifa,

My take:
ni vyema wasanii wadogo wa kibongo wangejaribu kukaa na Diamond ili kujifunza mambo mawili matatu ili nao waweze kuyafikia mafanikio analioyafikia msanii mwenzao Diamond.

Ni sawa lakini pia aangalie na ubora wake asije akatumia gharama kubwa lakini mwisho wa siku kazi ikawa hovyo
 
Back
Top Bottom