rip faza_nelly
JF-Expert Member
- Feb 19, 2018
- 5,749
- 7,038
We umenunua nn wakati hata baiskeli huna
Ova
Kuna kile chama juzi kati wamenunua magari manne TU Ford
Ike ilikodishwa kutoka kwa odinga kule kenyaIle ya CDM sijui ilienda wapi aaah kumbe nimeboronga,am outa here[emoji126][emoji126]
Heri mimi sijasema!Hiyo ni jet kwani?
Waache wa mbagala waendelee kubishania "jet hewa"Ndege ya mapangaboi unaiita Jet hahaahaha elimu elimu elimu
Unasema Jet wakati mi naona mapanga boy hapo?Duu huyu jamaaa kadri siku zinavyozidi kwenda ndo anazidi kufanya maajabuView attachment 953081
wwe na mama yako mmenunua mangapKuna kile chama juzi kati wamenunua magari manne TU Ford
Acha jazba, lete document hapa.Acheni kukuza vitu,hiyo ndege imekodishwa inatumika kwenye matangazo ya Show ya Wasafi Kenya basi.Sehemu gani wameandika hivyo,mbona mnalisha maneno ambayo yeye mwenyewe hajayatamka,
Nilete document mm au wewe unayeamini Diamond kanunua ndege.Acha jazba, lete document hapa.