Msanii Diamond Platnumz anunua private jet

Msanii Diamond Platnumz anunua private jet

Kuna kile chama juzi kati wamenunua magari manne TU Ford
1-8-768x512.jpg

Haya hapa mkuu, yakizunguka mikoa yote yanarudi screpa. Zidumu hekima za mwenyekiti, zidumuuuuu🔔🔔🔔
 
Ananunua jet kisha anakaa kwenye kiwanja cha 25×25..No way
 
Ndege ya mapangaboi unaiita Jet hahaahaha elimu elimu elimu
 
Write your reply...
unadhani kumiliki private jet ni kama kula bagia..
 
Acheni kukuza vitu,hiyo ndege imekodishwa inatumika kwenye matangazo ya Show ya Wasafi Kenya basi.Sehemu gani wameandika hivyo,mbona mnalisha maneno ambayo yeye mwenyewe hajayatamka,
Acha jazba, lete document hapa.
 
Back
Top Bottom