Tetesi: Msanii Diamond Platnumz (Dangote) aumbuka Kenya:


Haswaaaaaa nakuunga mkono. Hakuna mTZ anajua kingereza na ajitokeze sasa. Monds mi nam admire sana. Juhudi yake aliyofanya sote twapaswa kuiga. Nimemuona akihojiwa sana na vituo vya nje anaongea vizuri sana. tumpe moyo na kuiga toka kwake. Wakenya wanataka kumshusha tu......... Mond usikate tamaa, ongea kwa sana ukiwaona tena
 
Umenena mkuu
 
Mbona wakenya hata kiswahili hawajui lakini tunavumiliana tu
 
Ndio maana mimi nikiwaona watu wanaongea viingleza najipitia kimyakimya tu, mambo ya usumbufu mi sipendagi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…