Msanii Diamond Plutnumz akutana na Katibu wa Uenezi CCM, Shaka Hamdu Shaka

Naona baada ya dada wa taifa kumuwekea ujumbe wake kule upande wa pili kuhusu fobusi kijana anajaribu kusawazisha .
 
Dogo anatakiwa avae pamba zenye rangi halisi ya chama ambazo ni alama ya CCM. Hizo nguo anazovaa no rangi ya chama gani tena? Be serious dogo. Aache ujuaji usio na tija!
 
π™Όπšπš˜πšŠ πš–πšŠπšπšŠ πšžπš•πš’πšπšŠπš”πšŠ πšŠπš™πš’πšπšŽ πš™πš’πšŒπš‘πšŠ πš—πšŠ πš—πšŠπš—πš’?
 
Sahivi wanakimbilia kwenye chama kutaka teuzi, wacha wee.
 
Hao walioambatana na Diamond Platnum hawakujua hadhi ya ofisi wanakokwenda? Diamond na wale watoto wa Robert Mugabae hawana utofauti kabisa.
Kumbe na wewe umeona mkuu..
 
Kuna watu hujifanya ni wana mabadiliko sijui CHADEMA halafu wanashabikia wapuuzi kama hawa
 
USISAHAU KUMUELEZA CCM WAMPIGIE KURA KULE BET
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…