Msanii Dotnatha Aokoka, eti keshatoa albam ya Gospel

Msanii Dotnatha Aokoka, eti keshatoa albam ya Gospel

Whisper

JF-Expert Member
Joined
Jun 2, 2009
Posts
502
Reaction score
207
Tunamshukuru Mungu kwa kumwokoa Dotnatha. Kikubwa zaidi ni kwamba ndani ya mwezi mmoja wa wokovu wake keshatunga nyimbo tatu, na yuko mbioni kuachia album.

My Take; Wokovu ni mzuri, lakini kutoa nyimbo naona kama ni mapema sana. Isije ikawa anatafuta mlango mwingine wa kutokea, baada ya muziki wa dansi na movie kubuma. Yetu ni macho.
 
Back
Top Bottom