Msanii Ebitoke alia hadharani akimtaka Ben Paul kimapenzi

baada ya harmorapa sasa ni zamu ya ebitoke kupata kiki
 
tafadhar naomba mnioneshe maeneo ya kiunoni na kule kwa nyuma yake kwa huyu dada......ndo ntajua cha kumshauri bwana ben
 
Singing (in Kidumu's voice):" penda usipopendwaa ni kama kujitia kitanziii......
 
Haya ndo yale yale ya rayvanyboy na toto la kikenya[emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Ben inabidi tu akizindue hcho kitumbua kimekua kero kitaacha kusumbua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…