Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Binti anaweza akawa yuko real Mkuu...anayepoteza muda wake kumuhoji ndiyo mjinga zaidi.
Binti anaweza akawa yuko real Mkuu...
Sidhani kama ni muendelezo wa kiki.
Hakukua na njia nyingine ya kueleza hisia zake...tangu lini mtu akatongozwa kwenye media??
Ndo nani huyu?
Im speechless.... Kwa wanasaikolojia labda wanaweza elewa ni nini hiki.
Acha utani!!Ndo nani huyu?
Kivipi ndugu...!??tafadhar naomba mnioneshe maeneo ya kiunoni na kule kwa nyuma yake kwa huyu dada......ndo ntajua cha kumshauri bwana ben
hahahaha huyu ni chizibaada ya harmorapa sasa ni zamu ya ebitoke kupata kiki