Kumbe ni mkaskazini pia, ok poa... 😉😉😉Baada ya kuhitimisha masomo yake pale CBE, sasa hivi Dataz ni mama wa familia na anafanya kazi bank ya CRDB Tabata; kwa anayehitaji kumwona basi anapatikana hapo.
Huyu mdada alikua mtoto mkali wakati huo namaliza pale Mtwara Tech. Hata hivyo nasikia alihama akaenda kama siyo Ifunda ni Iyunga, sina hakika sana. Pale Mtwara Tech vijana wakimuita Macho ya Paka kwa sababu ya muonekano wake. Wakati huo alikua ni binti mbichi mweupeee!Baada ya kuhitimisha masomo yake pale CBE, sasa hivi Dataz ni mama wa familia na anafanya kazi bank ya CRDB Tabata; kwa anayehitaji kumwona basi anapatikana hapo.
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]Hebu twendeni mapumziko kidogo,tukirudi tutaendelea na mada yetu.
Kawimbo kamenikumbusha mbali sasa hivi muunganiko kama huu sijui unaupata wapi?
Hilo jina si geni?hospitali yake ilikua area a au area c??Hata mimi mzee nimeishi mitaa ya shule ya msingi chamwino kama unakwenda Area A hospital yangu kubwa ilikuwa ya Dr matovolwa
Yuko you tube.Mtafute utampataJamani yuko wapi Dataz?!
Long time, kitambo, Mdada huyu aliye-hit sana enzi zake kwa Bongo Flavor hasikiki/haonekani.
We miss you Dataz!
View attachment 375428
Umenikimbusha mbali sana yani mkuu[emoji17]Jamani yuko wapi Dataz?!
Long time, kitambo, Mdada huyu aliye-hit sana enzi zake kwa Bongo Flavor hasikiki/haonekani.
We miss you Dataz!
View attachment 375428
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Atakua kafichwa na mume wa mtu wa kipindi kile
mi nimeishi maeneo ya golden crown pale Area AHata mimi mzee nimeishi mitaa ya shule ya msingi chamwino kama unakwenda Area A hospital yangu kubwa ilikuwa ya Dr matovolwa
Haha haha dah!Atakua kafichwa na mume wa mtu wa kipindi kile
Bonge la Kolabo
mi nimeishi maeneo ya golden crown pale Area A
Hivi squuezer ni ndugu yake kumbe?"Eyo nyamaazaa shiko si mikosii" hii ngoma naikubali na kaka ake squeezer kapotea kweli. btw nimewamiss na Park Lane wazee wa - Nafasi nyingine na wale waloimba "tanzania wote taifa la bongo kwenye hack time tunamek bingo"
M'bichi means bikra.?Huyu mdada alikua mtoto mkali wakati huo namaliza pale Mtwara Tech. Hata hivyo nasikia alihama akaenda kama siyo Ifunda ni Iyunga, sina hakika sana. Pale Mtwara Tech vijana wakimuita Macho ya Paka kwa sababu ya muonekano wake. Wakati huo alikua ni binti mbichi mweupeee!
Ila miaka ya 2000-2003 nilisikia wakiishi Tabata Chang'ombe.
Anyway kama ni mama wa familia, hongera zake!
Hebu twendeni mapumziko kidogo,tukirudi tutaendelea na mada yetu.
Hivi squuezer ni ndugu yake kumbe?
Mojawapo ya nyimbo ambazo mistari inakuwa imefungwa kwa ustadi mkubwa sanaBonge la Kolabo