KWEZISHO
JF-Expert Member
- Jan 29, 2016
- 7,519
- 6,518
Walijitahidi sana kurandana na mapigo ya ala za muzikiMojawapo ya nyimbo ambazo mistari inakuwa imefungwa kwa ustadi mkubwa sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Walijitahidi sana kurandana na mapigo ya ala za muzikiMojawapo ya nyimbo ambazo mistari inakuwa imefungwa kwa ustadi mkubwa sana
"Eyo nyamaazaa shiko si mikosii" hii ngoma naikubali na kaka ake squeezer kapotea kweli. btw nimewamiss na Park Lane wazee wa - Nafasi nyingine na wale waloimba "tanzania wote taifa la bongo kwenye hack time tunamek bingo"
Joan yupo kuna kundi lao jipya la mziki wameunda Joan, Hadija kimobitel na Pauline zongo linaitwa Ndege 3 ! wapo ktk maandalizi ya albam! wimbo wao mmoja upo u-tubeNahuyo mwenzake Joan matovolwa kaishia wapi? Mtoto wa Dr matovolwa pale Area A Dodoma
Hapana kamshikia mtu.Hivi ni macho yake yale?
Iyunga ni full boys school,Huyu mdada alikua mtoto mkali wakati huo namaliza pale Mtwara Tech. Hata hivyo nasikia alihama akaenda kama siyo Ifunda ni Iyunga, sina hakika sana. Pale Mtwara Tech vijana wakimuita Macho ya Paka kwa sababu ya muonekano wake. Wakati huo alikua ni binti mbichi mweupeee!
Ila miaka ya 2000-2003 nilisikia wakiishi Tabata Chang'ombe.
Anyway kama ni mama wa familia, hongera zake!
Dada ana macho matamu kweli!
anafanya kazi CRDB BANK tawi la tabata magengeni ni teller.asee huwa nikienda bank napanga foleni ya dirisha lake bado ni mkali sana.nasasa ndo amenoga sana.anaishi na squezer
Kumbe wana dom Area A tupo wengi...Hivi ni macho yake yale?
Kaka umenikumbusha mbali sana. Nimeishi sana AREA A karibu na kwa dokta matovolwa
Mimi nimeishi area A karibu na kwa mkorea mbele kidogo ya kwa matovolwaHata mimi mzee nimeishi mitaa ya shule ya msingi chamwino kama unakwenda Area A hospital yangu kubwa ilikuwa ya Dr matovolwa
Kiitikio tata! Hatari na ajivinjari??? Nashangaa kwanini kipindi kile ukionekana ni wimbo mzuri au nyimbo nyingi zilikuwa mbaya??? Mbona nyimbo za daz nundaz, juma nature, profesa Jay za kipindi kile hadi leo ziko vizuri?[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] ...sikiliza wewee dataz...mme wa mtu ni hatari.. (?)ukiwa naye jivinjari. .....
Kumbe bongo kuna wakali namna hii[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Hebu twendeni mapumziko kidogo,tukirudi tutaendelea na mada yetu.
nimeishi chinangali west jiran na kanisa la KKKT, kwa mkorea ndo ilikuwa njia yangu kwenda dom. sec mkuuMimi nimeishi area A karibu na kwa mkorea mbele kidogo ya kwa matovolwa
Nadhani tutakuwa tunafahamiana aisee.....nimeishi chinangali west jiran na kanisa la KKKT, kwa mkorea ndo ilikuwa njia yangu kwenda dom. sec mkuu
Squizer si kaka yeke. Lakin pia inasemwa kwaolewaanafanya kazi CRDB BANK tawi la tabata magengeni ni teller.asee huwa nikienda bank napanga foleni ya dirisha lake bado ni mkali sana.nasasa ndo amenoga sana.anaishi na squezer
alisoma CBE dom,sijui kapotelea wapi