Umkonto umsizwe
JF-Expert Member
- Feb 7, 2023
- 454
- 949
Samahani broKuna mwamba mmoja alikuwa pale stendi ya tegeta nyuki,alikuwa ana tumboo kuubwaa,nae tumemzika last week,gafla kalala akuhamka,vijana wanaisha tutabakia wazee tuwastili wajane wao
Yule alikuwa anasimama pale kwenye njia ya kuingilia na kutokea stendi alikuwa anavaa macheni?