TANZIA Msanii Fred Kiluswa afariki Dunia

TANZIA Msanii Fred Kiluswa afariki Dunia

Ni vile ukuwaji wa teknolojia ya mawasiliano umeshamiri na ndivyo taarifa nyingi zinatufikia kwa wepesi na haraka ila tokea kale watu wanatangulia , vijana watoto na wazee.

Rip kijana, shukrani nyingi sana kwa mwenyezi Mungu kwa ajili ya maisha yake na kile chema kizuri alichofanya katika jamii yake.
 
Muigizaji wa tamthilia na Filamu Nchini, Fredy Kiluswa amefariki Dunia. Taarifa za kifo chake zimethibitishwa baadhi ya wasanii wakiwemo @jb_jerusalemfilms na Steve Mengele almaarufu Steve Nyerere.

Fredy ametamba na filamu na tamthilia mbalimbali ikiwemo tamthilia ya Mzani wa Mapenzi inayoonyeshwa katika channel ya Sinema Zetu ya Azam TV.

Endelea Kufuatilia kurasa Zetu kwa Taarifa zaidi kuhusu msiba wa Fredy zitakujia,

View attachment 3153966
Ni nani?
 
Dar Kila mtu muigizaji duh
Kila mtu muigizaji kivipi?
Mimi hua sishobokei bongo Movie ila mara kadhaa nilikua nikikaa kwenye TV naona Dada zangu wanaangalia Sinema zetu huyu Marehemu alikua na kipaji cha pekee sana alijitahidi kuvaa uhusika angalau bongo movie i make sense ila ndio hivyo tena
R.I.P
Mwamba ameenda!
 
Back
Top Bottom