Umkonto umsizwe
JF-Expert Member
- Feb 7, 2023
- 454
- 949
Samahani broKuna mwamba mmoja alikuwa pale stendi ya tegeta nyuki,alikuwa ana tumboo kuubwaa,nae tumemzika last week,gafla kalala akuhamka,vijana wanaisha tutabakia wazee tuwastili wajane wao
Huyu jamaa japokuwa simfahamu story yake niliisikia juzi,Mungu awapumzishe kwa Amani.Kuna mwamba mmoja alikuwa pale stendi ya tegeta nyuki,alikuwa ana tumboo kuubwaa,nae tumemzika last week,gafla kalala akuhamka,vijana wanaisha tutabakia wazee tuwastili wajane wao
Yeah ni huyo huyo.Samahani bro
Yule alikuwa anasimama pale kwenye njia ya kuingilia na kutokea stendi alikuwa anavaa macheni?
Ndio ivyoivyo mkuu,Yeah ni huyo huyo.
Jamaa alikuwa anaishi peke yake mkewe nae ni marehemu watoto wapo Bukoba kwa bibi mzaa mama alilala asubuhi kimya kumbe ameshaenda.
Ndio huyo,wakuitwa KinangwaSamahani bro
Yule alikuwa anasimama pale kwenye njia ya kuingilia na kutokea stendi alikuwa anavaa macheni?
Hilo swala la vifo vya usingizi ndo limetawala mnoo mnooKuna mwamba mmoja alikuwa pale stendi ya tegeta nyuki,alikuwa ana tumboo kuubwaa,nae tumemzika last week,gafla kalala akuhamka,vijana wanaisha tutabakia wazee tuwastili wajane wao
Sijui kwann!! Kuna jirani yangu mwezi uliopita kafa ivyoivyo, halafu sasaivi kama ugonjwa wa presha umetawala sanaHilo swala la vifo vya usingizi ndo limetawala mnoo mnoo
Ni nani?Muigizaji wa tamthilia na Filamu Nchini, Fredy Kiluswa amefariki Dunia. Taarifa za kifo chake zimethibitishwa baadhi ya wasanii wakiwemo @jb_jerusalemfilms na Steve Mengele almaarufu Steve Nyerere.
Fredy ametamba na filamu na tamthilia mbalimbali ikiwemo tamthilia ya Mzani wa Mapenzi inayoonyeshwa katika channel ya Sinema Zetu ya Azam TV.
Endelea Kufuatilia kurasa Zetu kwa Taarifa zaidi kuhusu msiba wa Fredy zitakujia,
View attachment 3153966
Sijui kwann!! Kuna jirani yangu mwezi uliopita kafa ivyoivyo, halafu sasaivi kama ugonjwa wa presha umetawala sana
Japo huwa sio mpenzi wa Bongo movie ila huyo jamaa hata mm namjuaDar Kila mtu muigizaji duh
Kila mtu muigizaji kivipi?Dar Kila mtu muigizaji duh