unque bin unuq
JF-Expert Member
- Apr 20, 2017
- 350
- 456
Nilikuwa napenda kusikiliza ngoma za [HASHTAG]#songa[/HASHTAG] kipindi kile anasema kwamba anajua #hip_hop hajui lolote kuhusu bongoflevaKusema kweli kuna haka ka dada kanaitwa "Pink".....duh!!!! Mimi ningekashauri kaachane na muziki kabisa.