Msanii gani Bongo ungemshauri aachane na mziki?

Kusema kweli kuna haka ka dada kanaitwa "Pink".....duh!!!! Mimi ningekashauri kaachane na muziki kabisa.
Nilikuwa napenda kusikiliza ngoma za [HASHTAG]#songa[/HASHTAG] kipindi kile anasema kwamba anajua #hip_hop hajui lolote kuhusu bongofleva
 
Snura chura
Ivi manfongo kapotelea wapi, maana alikuja kwa mbwembwe
 
Ray C, aache tu maana si yule wa kipind kile despite her countless efforts to hit lkn wp
Anangoma mpya, tamu kiasi nimeisikia leo redioni, sauti haina bwimbwi kabisa, natural
 
Harmorapa yani simpendiii km nini na kiki zake za kishamba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…