Fiesta imeanza2001 wasafi wameanza lini...!!Clouds tabia yao ya kuwekeana mabeef na wasanii itawacost sana na unafki wao kujidai wanampandisha msanii chart ili wamtumie vizuri kwenye Fiesta kama walivyoanza kwa Maua Sama. Fiesta ingekuwa tamu sana kama wangekua na mahusiano mazuri na WCB, lakini ndo hivyo tena.
Wasanii gani wa mwaka 2001 wanatamba hadi leo? wenye uwezo wa kupiga show mikoa yote n kuamsha shangwe la haja?Fiesta imeanza2001 wasafi wameanza lini...!!
Na wanafanya vzr tuuu!!!!!
Hawapo ila Tanzania hii kuna wasanii wengi kushinda hao WCB naamini itafanya vzr...japo Mimi sitahudhuria kulingana na umri wangu kwa sasa!!!ila wapo!!!Wasanii gani wa mwaka 2001 wanatamba hadi leo? wenye uwezo wa kupiga show mikoa yote n kuamsha shangwe la haja?
Kiuhalisia sa hivi wasanii hawapo wengi kama zamani, ukitoa WCB na baadhi wanaojitambua waliobaki ni kina Gigy Money na Amber LuluHawapo ila Tanzania hii kuna wasanii wengi kushinda hao WCB naamini itafanya vzr...japo Mimi sitahudhuria kulingana na umri wangu kwa sasa!!!ila wapo!!!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] amber Lulu nae msaniii au gigy money!!!Kiuhalisia sa hivi wasanii hawapo wengi kama zamani, ukitoa WCB na baadhi wanaojitambua waliobaki ni kina Gigy Money na Amber Lulu
Na wasanii wanaoidai tigo pia hawatakuwepoKiuhalisia sa hivi wasanii hawapo wengi kama zamani, ukitoa WCB na baadhi wanaojitambua waliobaki ni kina Gigy Money na Amber Lulu
Tatizo wale sio wa bei chee, Clouds bado viwango vyao vya bei ni vya miaka ya 2001 enzi hizo kilo ya nyama 1,000,Na wasanii wanaoidai tigo pia hawatakuwepo
Eti namimi ndio Nashangaa me bado naamini Fiesta ze best burudani. Kama dogo Janja mbona anahit song, uje Nandi uje fidq, uje linah, uje mauwa Sama, billnass, uje richmavoko, uje rubby, uje kuna kundi hivi lavijana watatu Jina Lao nimelisahau kidogo mbona wasanii tunao kibao jamani ukiachana na WCBFiesta imeanza2001 wasafi wameanza lini...!!
Na wanafanya vzr tuuu!!!!!
Zilipendwa hizo enzi, hivi sasa social networking ndio kila kitu zina nguvu kuliko redio na TV. Ili upepo utulie basi nguvu ya radio na TV iipite ya social networking jambo ambalo haliwezakani na halitowezekana kwa dunia ya sasa hivi, kwani radio na TV source yao kubwa ni social networking, ila social networking inajitegemea na ndio maana siku hizi nyimbo inaachiwa YouTube, instagram, Facebook etc, bila kufanya media tour na bado ina hit. Ndio maana kila radio ina acc ya fb, YouTube, instagram etc na mwisho kaangalie tafiti, wasikilizaji wa radio na TV wamepungua sana sababu ya hizi social networking na WCB wanajua kuitumia nguvu yao ya followers huku social networking na ndio maana Lava lava na Mbosso hawaja pewa promo na CMG na EATV na radio, lkn kila nyimbo wanayoitoa ina viewers zaidi ya 1m, ndani ya mda mchache, ukienda iTunes Kenya wanakimbiza, ukija boom play nyimbo zote ni zao. Ile miaka ya kusema bila wao husongi mbele inazidi kuyoyoma, social networking hivi sasa imekuwa kama kilevyi na Kuna watu wapo tayari wakose hela ya kula na si bando.CMG bado wana nguvu hasa upande wa wasanii. Wasanii wengi bado hatima yao imeshikwa na CMG. Hapa tz ni wasanii wachache sana ambao wapo independent pasipo kuhitaji mbeleko ya CMG. Hivi leo hii zikitangazwa show mbili siku moja huku CMG huku WCB halafu kote Maua Sama anahitajika, unadhani ataenda wapi? WCB walichofanikiwa ni kutengeneza himaya yao ila ni wao peke yao wanaoweza kulindwa na himaya hiyo, wasanii wote Walio nje ya WCB hatima yao haiwezi kulindwa na WCB.
Halafu CMG wanaujua huu mchezo, tokea 2011 wanafanya hizi mambo, ramani zote wanazo kiganjani, WCB wasijaribu kupimana msuli na CMG itawacost. Msanii yeyote atakaye ungana na WCB katika hii vita ajue tu kuna maisha baada ya huu upepo kutulia!
Huo ndio mtazamo wangu