Msanii gani kufunika fiesta 2018?

Msanii gani kufunika fiesta 2018?

Zilipendwa hizo enzi, hivi sasa social networking ndio kila kitu zina nguvu kuliko redio na TV. Ili upepo utulie basi nguvu ya radio na TV iipite ya social networking jambo ambalo haliwezakani na halitowezekana kwa dunia ya sasa hivi, kwani radio na TV source yao kubwa ni social networking, ila social networking inajitegemea na ndio maana siku hizi nyimbo inaachiwa YouTube, instagram, Facebook etc, bila kufanya media tour na bado ina hit. Ndio maana kila radio ina acc ya fb, YouTube, instagram etc na mwisho kaangalie tafiti, wasikilizaji wa radio na TV wamepungua sana sababu ya hizi social networking na WCB wanajua kuitumia nguvu yao ya followers huku social networking na ndio maana Lava lava na Mbosso hawaja pewa promo na CMG na EATV na radio, lkn kila nyimbo wanayoitoa ina viewers zaidi ya 1m, ndani ya mda mchache, ukienda iTunes Kenya wanakimbiza, ukija boom play nyimbo zote ni zao. Ile miaka ya kusema bila wao husongi mbele inazidi kuyoyoma, social networking hivi sasa imekuwa kama kilevyi na Kuna watu wapo tayari wakose hela ya kula na si bando.
Mkuu umeongea vema kabsa
 
Fiesta ndio tayari imeshatangazwa, na mwaka huu haitakuwa tena na msanii wa nje.


Ukiangalia trend ya mwaka mzima.
Unatabiri msanii gani atakuwa kivutio kwenye fiesta ya mwaka huu?

Mimi binafsi naona Maua Sama atafanya vizuri sababu ya wimbo wake mpya iokote.
Ahahahahahahahhahaha Maua sama mkuu acha utani na mawingu
 
Zilipendwa hizo enzi, hivi sasa social networking ndio kila kitu zina nguvu kuliko redio na TV. Ili upepo utulie basi nguvu ya radio na TV iipite ya social networking jambo ambalo haliwezakani na halitowezekana kwa dunia ya sasa hivi, kwani radio na TV source yao kubwa ni social networking, ila social networking inajitegemea na ndio maana siku hizi nyimbo inaachiwa YouTube, instagram, Facebook etc, bila kufanya media tour na bado ina hit. Ndio maana kila radio ina acc ya fb, YouTube, instagram etc na mwisho kaangalie tafiti, wasikilizaji wa radio na TV wamepungua sana sababu ya hizi social networking na WCB wanajua kuitumia nguvu yao ya followers huku social networking na ndio maana Lava lava na Mbosso hawaja pewa promo na CMG na EATV na radio, lkn kila nyimbo wanayoitoa ina viewers zaidi ya 1m, ndani ya mda mchache, ukienda iTunes Kenya wanakimbiza, ukija boom play nyimbo zote ni zao. Ile miaka ya kusema bila wao husongi mbele inazidi kuyoyoma, social networking hivi sasa imekuwa kama kilevyi na Kuna watu wapo tayari wakose hela ya kula na si bando.
Ni kweli kuwa social network ina nguvyu kuliko radio na tv ila tazama pia ni nani ana sauti kwa wasanii kati ya WCB NA CMG. Hivi kuna msanii yupo tayari kuzinguana na CMG kwa kutegemea msaada wa WCB? Okay labda ikatokea siku kukawa na viwanja viwili huku WCB wanapiga show halafu kule CMG wanapiga show, wasanii watamiminika upande gani?
 
Ni kweli kuwa social network ina nguvyu kuliko radio na tv ila tazama pia ni nani ana sauti kwa wasanii kati ya WCB NA CMG. Hivi kuna msanii yupo tayari kuzinguana na CMG kwa kutegemea msaada wa WCB? Okay labda ikatokea siku kukawa na viwanja viwili huku WCB wanapiga show halafu kule CMG wanapiga show, wasanii watamiminika upande gani?
Mbona sugu alijaza sana kuliko CMG au umesahau mkuu
 
Ni kweli kuwa social network ina nguvyu kuliko radio na tv ila tazama pia ni nani ana sauti kwa wasanii kati ya WCB NA CMG. Hivi kuna msanii yupo tayari kuzinguana na CMG kwa kutegemea msaada wa WCB? Okay labda ikatokea siku kukawa na viwanja viwili huku WCB wanapiga show halafu kule CMG wanapiga show, wasanii watamiminika upande gani?
Kusoma hujui hata picha huoni hits songs za mwaka huu WCB wametawala kwa 70%(fb, instagram, YouTube, iTunes Kenya, Boomplay, kideboy nk huko kote wanatrend wao) ,kwa hiyo WCB wao wenyewe wanauwezo wa kujaza kiwanja bila msanii yoyote yule (refer wasafi festival Iringa mwaka juzi). Mwanzo wa beef la WCB na CMG, wasanii walikuwa wanaisusa WCB kwa kuwaogopa CMG , lkn sasa hivi Ben pol, Dully Sykes wamepiga collabo na Harmonize, juzi Jux na Ben pol walikuwa ktk final za Jibebe Challenge na kama haitoshi birthday ya Romy Young Dee na Giggy walikuwa ktk party ya WCB na kama hiyo haitoshi week iliyopita Romyjones ametoa nyimbo ndani ameshirikishwa Country Boy, kwa kifupi CMG inapoteza ule ubabe wake, sio kama zamani na bado wengi sana wata hang out na WCB, wasanii wamechoka kupiga show zisizokuwa na hela, kwani CMG inatengeneza mastaa masikini wenye majina makubwa kwa kigezo cha promo.
 
Back
Top Bottom