Msanii gani maarufu umewahi kuonana naye live mkaongea mawili matatu

upo tanga sehemu gani njoo inbobo
 
Kwenye nchi ambapo wengi ni wasanii, kuwa msanii ni big deal wakati si chochote wala lolote bali nafasi katika jamii. Kwanini hamuulizii wazibua vyoo na makuli ambao bila wao kuwapo maisha yangesimama? Yaani hata madaktari hamuwashobokei isipokuwa hawa wasanii wenu uchwara na wachafuzi wa maadili ya kitanzania.
 
Hili ni jukwaa la celebrities, wazibua vyoo ni ma-celebrities? Kama roho imekuuma sana wafungulie uzi ila hatutaki kuuona kwenye jukwaa hili.
 

Sawa sawa mzee wa NEEMA TRUST [emoji23]
 
Unateseka na nini?
 
Madebe lidai, alikuja kutoa copy scripts za movie
Aisee usanii wa bongo mgumu sana. But jamaa yupo culture na normal sana
Daah madebe tunaishi nae buza mabondeni huku
 
Kuna mwanangu mmoja nimesomA nae olevel huko mbeya

Saivi ndio director wa tamthilia ya SARAFU

Alikuwa muongeaji balaa naona Sasa ndio anawaambia akina hemed ,mlela na uwoya "cuuuut" [emoji1787][emoji1787]

Way back tunasoma yeye alikuwa anawaona kwenye TV[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
We utakuwa wa kinondoni wewe
 
KR mulla jibaba cd 700,huyu bro tumecheza nae soka pale kiburugwa mbagala.....jamaa amekonda kinoma tofauti na ile miaka walivyokuwa wanapiga mapanga shaah na tmk,Anaupiga mwingi jamaa sijui kwa nini hakutaka kucheza soka la kulipwa!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…