choza choza
JF-Expert Member
- Jan 17, 2019
- 2,081
- 3,831
DomoHivi kwa sasa kuna msanii yupo juu kuliko marioo
Domo ananyimbo gani kali?Domo
Zuwena mbona kali aiseeDomo ananyimbo gani kali?
Kuna watu waliwahi kusema Marioo is overratedSawa marioo tumekusikia... Lipia tangazo
Saizi hakuna anayeipiga tena zuwenaZuwena mbona kali aisee
Kiba je ? humkubali pia ?Saizi hakuna anayeipiga tena zuwena
Nawakubali wasanii wote ( kasoro mbosso) ila kwa sasa Marioo kila anachofanya kinageuka dhahabuKiba je ? humkubali pia ?
Sahv bado tunaumalizia utamu wa "kibela remix"Saizi hakuna anayeipiga tena zuwena
We marioo acha makasiriko ww, mwenzako mbosso keshaachia dude huko la "sitaki". Vp umejipangaje kumjibu? Maana ndo zako hizoNawakubali wasanii wote ( kasoro mbosso) ila kwa sasa Marioo kila anachofanya kinageuka dhahabu
Pale anakula makombo tuuHONGERA YAKE AMEPATA SEHEMU NZURI YA KUTOMBEA TENA BILA KONDOMU
Mbosso anafaa aimbe kaswidaWe marioo acha makasiriko ww, mwenzako mbosso keshaachia dude huko la "sitaki". Vp umejipangaje kumjibu? Maana ndo zako hizo
Kwa kweli 🤣🤣🤣🤣Sawa Marioo tumekusikia... Lipia tangazo
Halafu kwanini kwenye videos huvaa nguo za kike.Wanaelekezwa.Wasanii wengi nyimbo zao hazivuki sababu ya kujiremba sana kama wanawake
Ni kama wanaoacha kifua waziHalafu kwanini kwenye videos huvaa nguo za kike.Wanaelekezwa.