BilioneaPATIGOO
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 12,320
- 11,327
Hua nashangaa sana ni kwamba Tanzania kwenye upande wa burudani watu ni wapenzi sana wa mziki wa magharibi kuliko wa kiafrika...muda sana sijasikia wasanii haswa wa kongo wakija kupiga show za nguvu hapa kwetu, tangu Fally Ipupa N'simba a.k.a Dicap la merveille, a.k.a El pibe de oro, a.k.a El Maravilloso, a.k.a 3x Hustler, a.k.a El Rey Mago, a.k.a Champions love, kuja bongo sijaona msanii mwingine wa kongo ... sitaki kabisa kumzungmzia Koffi Olomide maana alikuja kimashauzi sana na kupiga ngoma moja tu ya Selfie ..
Nmeona live concerts za Hervé NGola Bataringe a.k.a Ferre Gola na akina Cindy yani unainjoi...basi bajitokeze batu bazamini baletee sisi bapenzi ba muziki ba kongo.
Nmeona live concerts za Hervé NGola Bataringe a.k.a Ferre Gola na akina Cindy yani unainjoi...basi bajitokeze batu bazamini baletee sisi bapenzi ba muziki ba kongo.