Msanii gani wa kikongo ungependa aje kupiga show ya nguvu Tanzania

Hahaha hapa ndo napokukubali brother
 
Hahaha hapa ndo napokukubali brother

Pamoja Mkuu. Hawa Vijana wa jana wanajifanya kuijua Wenge Musica BCBG na JB Mpiana kuliko hata Sisi ' Bana Wenge Halisi / Kindakindaki ' wenyewe hivyo ngoja leo niwape ' data ' zaidi za Wenge Musica BCBG na JB Mpiana ili siku zingine waje humu na ' adabu ' zao zote.
 
Mimi nimenza kuvutiwa na mziki wa Kongo,lakini wanamuziki walionivutia zaidi ni Ferre Gola na Fally Ippupa, sasa ngoja ni msikilize na mtu mzima JB Mpiana. Lakini mziki ninaoupenda mimk zaidi ni ile ya taratibu. Mziki mzito na melody ya kuvutia sijui hivyo vitu vipo kwa JB?
 
Be
Unazungumzia show za miaka kumi iliyopita, kwa sasa JB ni mahili
we kweli nduza!...hiyo album unayosema mpya ineanza kuzungumziwa miaka zaidi ya mitano iliyopita,...JB alkuwa bora zamani, JB wa sasa siyo yulee wa miaka ile....mimi pia nilikua shabiki wake kipindi hicho maana alikuwa anapiga mziki mzuri...wewe baada ya kupenda muziki mzuri unamoenda mtu hata kama anapiga muziki wa hovyo....
 

Hopeless Creature.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…