Tetesi: Msanii Gigy Money atafanikisha kazi aliyotumwa? Anaiweza? Atumiwe Konki Master (Dudu Baya)? Tujiandae kuona video?

Tetesi: Msanii Gigy Money atafanikisha kazi aliyotumwa? Anaiweza? Atumiwe Konki Master (Dudu Baya)? Tujiandae kuona video?

Leak

JF-Expert Member
Joined
Feb 22, 2012
Posts
52,916
Reaction score
43,505
Wasalaam wanajamvi

Msanii Gigy Money hivi karibuni amekuwa akionekana kwenye media ya msanii Diamond Platinumz akifanya shughuli fulani ambayo mwanzo ilionekana kama ni serious lakini imekuja kujulikana ni shughuli ambayo amepewa aifanye maana walio mpa walio anaweza kuimudu vizuri

Msanii Gigy amekuwa akizunguka kwenye vipindi mbali mbali vya wasafi media akiporomosha matusi na kumvua nguo msanii mwenzie

Baada ya utafiti imesemekana kuwa shughuli anyoifanya Gigy money siyo ya bure ina malipo na haitokwisha leo mpaka lengo litimie.

Msanii Gigy money atatumiwa kuvujisha video na maongezi ya msanii mwenzie na walio mtuma wanajua kabisa anaweza na wamempa na vitendea kazi na lengo kuhakisha Msanii husika anachafuka vilivyo

Muziki wa Tanzania ndipo ulipofikia maana njia ya kupambana na msanii mwenzio ni kuhakikisha ana chafuka

Maswali ambyo yamekuwa yakiulizwa

> Je, hadi sasa Gigy amemudu kazi aliyotumwa afanye dhidi ya msanii mwenzie?

> Wasafi FM na Wasafi TV huu ujinga wanao upromote ni kwa faida ya nani?

> Je, ataweza kufanikisha mpango huo?

> Wanao mtuma wanahitaji nini?

> Wanao mtuma kwanini wasitumie muziki kupambana na muhusika kuliko kumtumia Gigy Money?

> Wakimaliza kumtumia Gigy Money wamtupa kama toilet paper?

> Atumiwe konki master ndio ataiweza?

Wasalaam
 
There is nothing as bad publicity, every publicity is a good publicity.

Boss wao kinachomfanya aongelewe siyo muziki ni skendo. Hata msanii wake mpya wakataka kuunda kaskendo kua anatoka na boss ila hii haikushika kasi wakaachana nayo.

Wasije kua wanampiga chura teke.
 
There is nothing as bad publicity, every publicity is a good publicity.

Boss wao kinachomfanya aongelewe siyo muziki ni skendo. Hata msanii wake mpya wakataka kuunda kaskendo kua anatoka na boss ila hii haikushika kasi wakaachana nayo.

Wasije kua wanampiga chura teke.
Kalale acha kushobokea Mambo, unahuhakika?
 
Kumbe wewe huwaga kiazi hivi?!hivi tangu lini diamond akashindana na watoto wa kike?!angetaka hizo mambo basi angemtambulisha Zuchu wakati Nandy yuko Moto na sio sasa Nandy ameshaishiwa anabahatisha tu!!Believe me or not Nandy huyu wa sasa wala hana tishio lolote lile kwa watu kama wasafi ukilinganisha na Nandy wa Mwaka mmoja nyuma!Acheni unafiki basi
 
Kigoma Independent Hahaa WCB huwa sijui mnautapia mlo wa kufikiri

Yaani huwaga hamtaki kabisa kuupokea ukweli hata kama ukweli huo umejiweka dhahiri kabisa kama nyeti za mbuzi

Huyo uliye m-quote ambaye ndiye mleta mada ni WCB kindaki ndaki

But Leo kaamua kuacha ushabiki maandazi na kuongea ukweli " Needhani sasa ameona ukweli kuwa hao WCB hawa play game fair wanapenda sana fitna na uswahili uswahili

That's why wanatumia nguvu kubwa za fitina ili wamshushe nandy then wampandishe sijui puchu sijui kuku ooohh sorry mnamuita zuchu if I'm not mistaken
 
Back
Top Bottom