Tetesi: Msanii Gigy Money atafanikisha kazi aliyotumwa? Anaiweza? Atumiwe Konki Master (Dudu Baya)? Tujiandae kuona video?

Tetesi: Msanii Gigy Money atafanikisha kazi aliyotumwa? Anaiweza? Atumiwe Konki Master (Dudu Baya)? Tujiandae kuona video?

Siyo chuki wala,nye watu ambao hawaegemei upande wowote mnawaona kama wana chuki,mi sina uteam yoyote nasema nachoona
Hiv una amini kweli kwa akili yako timamu bila chuki wasafi wanamtumia gigy money eti kwa nandy?
 
Siyo chuki wala,nye watu ambao hawaegemei upande wowote mnawaona kama wana chuki,mi sina uteam yoyote nasema nachoona
Jitu linakwambia hakina chuki wakati huo huo jambo lolote linahusu wcb lazima achangie kwa kuiponda wcb, uchawi kuuficha ni kazi kubwa.
 
we ndio unaropoka. Swala sio kumdai, swala ni mgogoro. Man water alipokuwa anadai fedha mbele ya media huoni kama alimchafua Kiba mbele ya jamii kama anavyofanya huyu gigy money????
Sasa yule alienda paleeh kwa matakwa yake, na alikua anaongelea haki yake haijalishi km alikuwa ana haribu image ya kiba,
sasa huyu giggy ana slay huko usafini kumu attack Nandy kwa kipi? Hebu kuwa muelewa wee sitaki kubishan hapa msieeeeeeeew.
 
Linahusiana vizuri sababu hata aliyeleta mada kwa kiasi fulani ameilenga wasafi kwa aliyoyaeleza Gigy(kwamba Wasafi wanamtumia Gigy ili amchafue Nandy) sasa vipi na Man Walter alivyoenda kueleza malalamiko yake Clouds na yeye alitumwa amchafue Ali Kiba?
Ni migogoro miwili tofauti wala haihusiani, man water alienda pale kuzungumzia upatikanaji wa haki yake kutok kwa kiba japo ilikuwa vibaya ki taswira kweny carrier ya kiba, but ilikuwa halali ya man water.
Sas huyu giggy anavo mu attack Nandy kwa kipi? Hebu jaribu kuwa muelewa alaaaaaaah
 
Hakuna msanii wa kike aliyewai kufanya show classic na expensive kama yeye.

Inampa profile kubwa.
Mungu wangu tobaaaaaaaah, heeeewh kumbe wee hujui kityuuh vee kaperform hadi jukwaa kuu la wasanii wakubwa kwa upande wa Africa kule [emoji631], na kafany show kubwa nyingi za nje. Uliza uambiwe Rotimiii alimpatia wapi? Hebu usinitibue saivi mxieeeeeeeeew, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wasalaam wanajamvi

Msanii Gigy Money hivi karibuni amekuwa akionekana kwenye media ya msanii Diamond Platinumz akifanya shughuli fulani ambayo mwanzo ilionekana kama ni serious lakini imekuja kujulikana ni shughuli ambayo amepewa aifanye maana walio mpa walio anaweza kuimudu vizuri

Msanii Gigy amekuwa akizunguka kwenye vipindi mbali mbali vya wasafi media akiporomosha matusi na kumvua nguo msanii mwenzie

Baada ya utafiti imesemekana kuwa shughuli anyoifanya Gigy money siyo ya bure ina malipo na haitokwisha leo mpaka lengo litimie.

Msanii Gigy money atatumiwa kuvujisha video na maongezi ya msanii mwenzie na walio mtuma wanajua kabisa anaweza na wamempa na vitendea kazi na lengo kuhakisha Msanii husika anachafuka vilivyo

Muziki wa Tanzania ndipo ulipofikia maana njia ya kupambana na msanii mwenzio ni kuhakikisha ana chafuka

Maswali ambyo yamekuwa yakiulizwa

> Je, hadi sasa Gigy amemudu kazi aliyotumwa afanye dhidi ya msanii mwenzie?

> Wasafi FM na Wasafi TV huu ujinga wanao upromote ni kwa faida ya nani?

> Je, ataweza kufanikisha mpango huo?

> Wanao mtuma wanahitaji nini?

> Wanao mtuma kwanini wasitumie muziki kupambana na muhusika kuliko kumtumia Gigy Money?

> Wakimaliza kumtumia Gigy Money wamtupa kama toilet paper?

> Atumiwe konki master ndio ataiweza?

Wasalaam
We kiazi ndio umeaandika nn[emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom