Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
AiseeUpuuzi mtupu '
Hapo kanaishia kuliwa tu na kupigishwa show kisha kana lipwa 500k nakulala hotelini baaasi
Baada ya muda kana bwagwa kama toilets paper
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AiseeUpuuzi mtupu '
Hapo kanaishia kuliwa tu na kupigishwa show kisha kana lipwa 500k nakulala hotelini baaasi
Baada ya muda kana bwagwa kama toilets paper
Ila we jamaa unachuki sana na WCB sijui walikufanyia Nini?Una kiherehere
SawaUna kiherehere
Ila we jamaa unachuki sana na WCB sijui walikufanyia Nini?
Hiv una amini kweli kwa akili yako timamu bila chuki wasafi wanamtumia gigy money eti kwa nandy?Siyo chuki wala,nye watu ambao hawaegemei upande wowote mnawaona kama wana chuki,mi sina uteam yoyote nasema nachoona
Sawa mbona hasemi ili nanga zikatoke na topeUlikua ujui Mkuu...iko wazi mbona
Jitu linakwambia hakina chuki wakati huo huo jambo lolote linahusu wcb lazima achangie kwa kuiponda wcb, uchawi kuuficha ni kazi kubwa.Siyo chuki wala,nye watu ambao hawaegemei upande wowote mnawaona kama wana chuki,mi sina uteam yoyote nasema nachoona
Haswaaaaaaah yaaani dearGigy anazingua kumbe, kongole kwa Nandy kama ameamua kua kimya aendelee hivyo hivyo, kukaa kimya ni jibu la mjinga....
Sasa yule alienda paleeh kwa matakwa yake, na alikua anaongelea haki yake haijalishi km alikuwa ana haribu image ya kiba,we ndio unaropoka. Swala sio kumdai, swala ni mgogoro. Man water alipokuwa anadai fedha mbele ya media huoni kama alimchafua Kiba mbele ya jamii kama anavyofanya huyu gigy money????
Ni migogoro miwili tofauti wala haihusiani, man water alienda pale kuzungumzia upatikanaji wa haki yake kutok kwa kiba japo ilikuwa vibaya ki taswira kweny carrier ya kiba, but ilikuwa halali ya man water.Linahusiana vizuri sababu hata aliyeleta mada kwa kiasi fulani ameilenga wasafi kwa aliyoyaeleza Gigy(kwamba Wasafi wanamtumia Gigy ili amchafue Nandy) sasa vipi na Man Walter alivyoenda kueleza malalamiko yake Clouds na yeye alitumwa amchafue Ali Kiba?
Mungu wangu tobaaaaaaaah, heeeewh kumbe wee hujui kityuuh vee kaperform hadi jukwaa kuu la wasanii wakubwa kwa upande wa Africa kule [emoji631], na kafany show kubwa nyingi za nje. Uliza uambiwe Rotimiii alimpatia wapi? Hebu usinitibue saivi mxieeeeeeeeew, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hakuna msanii wa kike aliyewai kufanya show classic na expensive kama yeye.
Inampa profile kubwa.
Utavava veveeh, nipisheeeeeh kuleeeee msieeeeeeeeeeewBangeeeee
Poleeeeeeeeeeh wee mropokaji usie na facts. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unajua unaongeaga sana mpaka kwenye ukweli[emoji24][emoji24][emoji24]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hebu bhanaaaaah aaaahDose and dosage wazee wa pharmacology ufafanuzi tafadhali.[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Sent from my TECNO 7C using JamiiForums mobile app
Hata me nashangaaNandy anaukubwa gani wa kushushwa???? Acheni kuwachafua WCB
We kiazi ndio umeaandika nn[emoji23][emoji23]Wasalaam wanajamvi
Msanii Gigy Money hivi karibuni amekuwa akionekana kwenye media ya msanii Diamond Platinumz akifanya shughuli fulani ambayo mwanzo ilionekana kama ni serious lakini imekuja kujulikana ni shughuli ambayo amepewa aifanye maana walio mpa walio anaweza kuimudu vizuri
Msanii Gigy amekuwa akizunguka kwenye vipindi mbali mbali vya wasafi media akiporomosha matusi na kumvua nguo msanii mwenzie
Baada ya utafiti imesemekana kuwa shughuli anyoifanya Gigy money siyo ya bure ina malipo na haitokwisha leo mpaka lengo litimie.
Msanii Gigy money atatumiwa kuvujisha video na maongezi ya msanii mwenzie na walio mtuma wanajua kabisa anaweza na wamempa na vitendea kazi na lengo kuhakisha Msanii husika anachafuka vilivyo
Muziki wa Tanzania ndipo ulipofikia maana njia ya kupambana na msanii mwenzio ni kuhakikisha ana chafuka
Maswali ambyo yamekuwa yakiulizwa
> Je, hadi sasa Gigy amemudu kazi aliyotumwa afanye dhidi ya msanii mwenzie?
> Wasafi FM na Wasafi TV huu ujinga wanao upromote ni kwa faida ya nani?
> Je, ataweza kufanikisha mpango huo?
> Wanao mtuma wanahitaji nini?
> Wanao mtuma kwanini wasitumie muziki kupambana na muhusika kuliko kumtumia Gigy Money?
> Wakimaliza kumtumia Gigy Money wamtupa kama toilet paper?
> Atumiwe konki master ndio ataiweza?
Wasalaam
Anayemu-overrate ni nani?Yaani yuko very overrated