Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,420
- 18,298
Internationally kwa wasanii wa kike Vee Money amejibrand sana sidhani kama kwa sasa atatokea msanii wa kike wa kumfikia,ukiangalia hata aina ya mziki wa zuchu hauwezi kwenda kimataifa ila kwa market ya ndani atatrend kutokana na mazingira halisi na promo za wcb.
Halafu Zuchu bado kumfikia Nandy ,mziki wa zuchu ni kutegemea upepo na nguvu nyingi kumkuza wakati nandy anafanya mziki kwa kurelax na anahit ,zuchu na wcb wana presha ya kuhakikisha wimbo anaotoa zuchu utrend,sasa huwezi kushindana ukiwa na presha wakati mwenzako amerelax hana presha
Halafu Zuchu bado kumfikia Nandy ,mziki wa zuchu ni kutegemea upepo na nguvu nyingi kumkuza wakati nandy anafanya mziki kwa kurelax na anahit ,zuchu na wcb wana presha ya kuhakikisha wimbo anaotoa zuchu utrend,sasa huwezi kushindana ukiwa na presha wakati mwenzako amerelax hana presha
Nandy ni manzi flani huwa hawajibu watu kwenye macho ya media lakini huwezi jua behind the scene anadeal nao vipi. Hiyo ni strength yake
Kingine Zuchu kwa sasa ndio anapewa promo na sishangai hata akija kuwa leading female artist kwa Tz maana nguvu ya WCB imeonekana kwa kumpush mtu kama harmo ambao talent ipo low lakini sasa ni jina kubwa...
By the way Yoyote anaesuka mipango ya zuchu anaisuka fresh lakini je, ataweza kumfanya zuchu kuwa international act kama Vee ??. Mtihani huo